Nawezaje kutumia mifumo ya computer kurahisisha kurekodi mauzo, madeni na kuhesabu mzigo

Nawezaje kutumia mifumo ya computer kurahisisha kurekodi mauzo, madeni na kuhesabu mzigo

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Na ningependa zaidi wachangiaji wawe ambao wanatumia hizi system, sio ku google ama kusikia.

Nipo mkoani nina stoo yangu kubwa ambayo ndipo mizigo inapofikia kutoka Dar kwajili ya kuitunza na pia huwa nauzia hapo kwa order kubwa kubwa. kuna mtu wa kazi ndie nimemweka hapo awe anafanya stock, kuuza, n.k. ila mara kadhaa anachanganya mambo,

Mizigo huwa naitoa huko stoo naipeleka kwenye maduka yangu mawili kwajili ya kuuza (kuna muda nakopesha).

Mizigo kuna muda nairudisha stoo kutoka dukani,

Baadhi ya mizigo ikifika imeharibika huwa nairudisha nilikonunulia (returns)

Nataka system ambayo itakuwa ina account shughuli zote za stoo na maduka pale mizigo inapotoka stoo kwenda madukani.

Excel nishaitumia sana ni kazi nzito, yani stoo na duka inabidi ziwe na sheets zake, uanze kuingiza kitu kimoja kimoja, inachosha!! nahitaji mfumo wa database
 
Excel hapa nimeitumia sana ila ni kazi nzito.

Nahitaji system ya kuunganisha shughuli za stoo na maduka
Unayohitaji wewe ni database system sasa ambayo inakuwa na entity mbili moja ni SHOP na nyingine ni STORE. Entities hizi huwa na attributes tofauti na zinashare Attribute moja ambayo inaziunganisha SHOP na STORE.

Hii utaimanage na interface inayoundwa na HTML+CSS+Javascript. Kunakuwa na username na password, inayokuwezesha kuingia kwenye akaunti na kufanya management yako kama Administrator. Pia itahitajika user accounts zingine kwa ajili ya wafanyakazi wako kuweka data zote kuhusiana na bidhaa husika kuanzia store hadi dukani.

Muundo wa system hii kama ni mjuzi wa haya mambo nakushauri tumia online plaform zipo zinazotoa huduma hii unakuwa unalipia kwa mwaka, au tafuta system developers ambao wapo wengi mjini hasa waliyosoma IT, Computer science n.k
 
Na ningependa zaidi wachangiaji wawe ambao wanatumia hizi system, sio ku google ama kusikia.

Nipo mkoani nina stoo yangu kubwa ambayo ndipo mizigo inapofikia kutoka Dar kwajili ya kuitunza na pia huwa nauzia hapo kwa order kubwa kubwa. kuna mtu wa kazi ndie nimemweka hapo awe anafanya stock, kuuza, n.k. ila mara kadhaa anachanganya mambo,

Mizigo huwa naitoa huko stoo naipeleka kwenye maduka yangu mawili kwajili ya kuuza (kuna muda nakopesha).

Mizigo kuna muda nairudisha stoo kutoka dukani,

Baadhi ya mizigo ikifika imeharibika huwa nairudisha nilikonunulia (returns)

Nataka system ambayo itakuwa ina account shughuli zote za stoo na maduka pale mizigo inapotoka stoo kwenda madukani.

Excel nishaitumia sana ni kazi nzito, yani stoo na duka inabidi ziwe na sheets zake, uanze kuingiza kitu kimoja kimoja, inachosha!! nahitaji mfumo wa database
Habar ndugu, kwa suala la usahihi wa mzigo kuingia, kotoka au kurudishwa uliponunua kutokana na kuharibika, pia pamoja na utunzaji wa hesabu za madeni unayodai/unayodaiwa hapo unahitaji program ya kihasibu ambazo zipo nyingi sana, mfano mzuri ni program ya Tally ERP 9 na QuickBook, changamoto ktk matumizi ya program hizo ni lazima usome kozi yake namna ya kuitumia, ambayo kwa uchache kabisa ni kuanzi wiki mbili mpaka mwezi mmoja, ungekuwa Dar es salaam ningekusaidia
 
Ngoja nikupe namba ya mhindi m'moja hivi ambaye ni mtaalamu ataweza kukufanyia hii kazi.
 
Na ningependa zaidi wachangiaji wawe ambao wanatumia hizi system, sio ku google ama kusikia.

Nipo mkoani nina stoo yangu kubwa ambayo ndipo mizigo inapofikia kutoka Dar kwajili ya kuitunza na pia huwa nauzia hapo kwa order kubwa kubwa. kuna mtu wa kazi ndie nimemweka hapo awe anafanya stock, kuuza, n.k. ila mara kadhaa anachanganya mambo,

Mizigo huwa naitoa huko stoo naipeleka kwenye maduka yangu mawili kwajili ya kuuza (kuna muda nakopesha).

Mizigo kuna muda nairudisha stoo kutoka dukani,

Baadhi ya mizigo ikifika imeharibika huwa nairudisha nilikonunulia (returns)

Nataka system ambayo itakuwa ina account shughuli zote za stoo na maduka pale mizigo inapotoka stoo kwenda madukani.

Excel nishaitumia sana ni kazi nzito, yani stoo na duka inabidi ziwe na sheets zake, uanze kuingiza kitu kimoja kimoja, inachosha!! nahitaji mfumo wa database
Quickbooks accounting software
 
Na ningependa zaidi wachangiaji wawe ambao wanatumia hizi system, sio ku google ama kusikia.

Nipo mkoani nina stoo yangu kubwa ambayo ndipo mizigo inapofikia kutoka Dar kwajili ya kuitunza na pia huwa nauzia hapo kwa order kubwa kubwa. kuna mtu wa kazi ndie nimemweka hapo awe anafanya stock, kuuza, n.k. ila mara kadhaa anachanganya mambo,

Mizigo huwa naitoa huko stoo naipeleka kwenye maduka yangu mawili kwajili ya kuuza (kuna muda nakopesha).

Mizigo kuna muda nairudisha stoo kutoka dukani,

Baadhi ya mizigo ikifika imeharibika huwa nairudisha nilikonunulia (returns)

Nataka system ambayo itakuwa ina account shughuli zote za stoo na maduka pale mizigo inapotoka stoo kwenda madukani.

Excel nishaitumia sana ni kazi nzito, yani stoo na duka inabidi ziwe na sheets zake, uanze kuingiza kitu kimoja kimoja, inachosha!! nahitaji mfumo wa database
0659740682
 
Ninaweza kukutengenezea mfumo, ambao utakuwa customised kwaajili ya biashara yako. Achana na kulipia mifumo complicated amabayo imeandaliwa kwa matumizi general. Mimi nitakutengenezea kulingana na matakwa yako. . Karibu tufanye kazi. Utanishukuru baadae.
 
Habar ndugu, kwa suala la usahihi wa mzigo kuingia, kotoka au kurudishwa uliponunua kutokana na kuharibika, pia pamoja na utunzaji wa hesabu za madeni unayodai/unayodaiwa hapo unahitaji program ya kihasibu ambazo zipo nyingi sana, mfano mzuri ni program ya Tally ERP 9 na QuickBook, changamoto ktk matumizi ya program hizo ni lazima usome kozi yake namna ya kuitumia, ambayo kwa uchache kabisa ni kuanzi wiki mbili mpaka mwezi mmoja, ungekuwa Dar es salaam ningekusaidia
Apo ni ukweli kwetu tunatumia QUICKBOOK na inafanya kazi vizuri sana. Lakini inabidi ajifunze kuitumia ndo atajua uzuri wake
 
Habari,

Tunatoa huduma za kutengeneza system mbalimbali. System ambayo unaihitaji wewe tunato. Tunaweka fanya customization kwenye system yetu ikidhi mahitaji yako.

System zetu ni salama, na utaweka kuzitumia kwenye kifaa chochote chenye internet. Pia tunaweza kukutengenezea mobile application kwa ajili ya system hiyo.

Kwa maelezo zaidi na system zetu zote, tembelea website yetu
www.ufanisiafrica.com

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Na ningependa zaidi wachangiaji wawe ambao wanatumia hizi system, sio ku google ama kusikia.

Nipo mkoani nina stoo yangu kubwa ambayo ndipo mizigo inapofikia kutoka Dar kwajili ya kuitunza na pia huwa nauzia hapo kwa order kubwa kubwa. kuna mtu wa kazi ndie nimemweka hapo awe anafanya stock, kuuza, n.k. ila mara kadhaa anachanganya mambo,

Mizigo huwa naitoa huko stoo naipeleka kwenye maduka yangu mawili kwajili ya kuuza (kuna muda nakopesha).

Mizigo kuna muda nairudisha stoo kutoka dukani,

Baadhi ya mizigo ikifika imeharibika huwa nairudisha nilikonunulia (returns)

Nataka system ambayo itakuwa ina account shughuli zote za stoo na maduka pale mizigo inapotoka stoo kwenda madukani.

Excel nishaitumia sana ni kazi nzito, yani stoo na duka inabidi ziwe na sheets zake, uanze kuingiza kitu kimoja kimoja, inachosha!! nahitaji mfumo wa database
Habari ndugu sky soldier

Binasfi nimetengeneza mfumo wangu ambao unanisadia kumonitor biashara zangu na kuniwezesha kupata taarifa ya mwenendo wa bishara zangu na hata kufanya forecast ya biashara zangu. System hii inafanya mambo mengi ya muhimu kwenye biashara, kukurahisisha uelewa system inafanya yafuatayo:-
1. Kufungua biashara kila siku (napokea sms alerts)
2. Kufungwa kwa biashara EOD/EOM (End Of Day / End Of Month)
3. Mauzo (Expenses/loss/profit)
4. Kuweka na kupokea order za wateja (pia kutunza list ya wateja)
I took a few screenshots kwenye localhost (data nimetoa kwenye mfumo wamajaribio ambao haunataarifa rasmi) it's just a sample display for you. (My contact: Call/Whatsapp/+255745234860) - Napatikana Dar es salaam.

Edited 27/04/2024: Nimeweka Link hapa chini kwa wale watakaotaka kuona system ilivyo na inavyofanya kazi..

Angalizo 1, Kama umekuta test data za mtu mwengine tafadhari usizifute tengeneza/create Biashara yako, kama utaamua kufungua biashara ya mwengine basi naomba uwe mtazamaji utumie kujifunza tuu usifute au kubadili taarifa za mtu mwngine.

Angalizo 2, Kama utahitaji akaunti binafsi nasio hii ya demo nicheck inbox nikutengenezee.

Demo Login Credentials:
Url:
Login
Username : STFBFAE39C324D97221DE13
Password:
STFBFAE39C324D97221DE13

BUSINESS STATISTICS PAGE

1703679751933.png

1703680165413.png

1703682260950.png

1703680212707.png


HOME PAGE
1703680335696.png

1703681018379.png


SELECT ANOTHER BUSINESS (kama unabiashara zaidi yamoja)
1703681204423.png


KUONGEZA BIASHARA MPYA
1703681377108-png.2854665


VIEW ORDERS
1703683702298.png
 

Attachments

  • 1703679449953.png
    1703679449953.png
    49.7 KB · Views: 12
  • 1703681377108.png
    1703681377108.png
    40.1 KB · Views: 59
  • 1703683619821.png
    1703683619821.png
    52 KB · Views: 21
Back
Top Bottom