Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
mkuu iyo Tv ni smart TV au ni ya kawaida?Wakuu, nina TV yangu nch 32 ya kampuni ya Mysol ambayo ina uwezo wa kupokea camcard ya king'amuzi chochote bila shida.
Sasa changamoto ninayoipata ni kutokuwa na casting option ili niweze kuunganisha na simu yangu moja kwa moja, maana Nina link zinazo niwezesha kustream mechi za ligi mbalimbali kama EPL na laliga ila nashindwa kuunganisha na TV yangu ili nifaidi uhondo wa mechi hizo.
Wataalam humu, nisaidieni namna ya kufanya hapa, kwani Mimi sio Mtaalam sana wa mambo haya nimekariri tu kuwa lazima TV yangu iwe na casting optioTv
Vipo vidude vya kuchomeka kwenye tv ili uweze ku cast, Aliexpress ni kama 10,000 na kibongo bongo kama 30-50,000 hivi. Sema kama upo vizuri nunua tu tv box hizi kama stick, chomeka nyuma tv yako itakua smart. Vya kichina siku hizi Aliexpress chini ya 50,000 na kama unajiweza Firestick, Google Android tv, Onn tv etc unaweza pata chini ya laki uakiagizishia.Wakuu, nina TV yangu nch 32 ya kampuni ya Mysol ambayo ina uwezo wa kupokea camcard ya king'amuzi chochote bila shida.
Sasa changamoto ninayoipata ni kutokuwa na casting option ili niweze kuunganisha na simu yangu moja kwa moja, maana Nina link zinazo niwezesha kustream mechi za ligi mbalimbali kama EPL na laliga ila nashindwa kuunganisha na TV yangu ili nifaidi uhondo wa mechi hizo.
Wataalam humu, nisaidieni namna ya kufanya hapa, kwani Mimi sio Mtaalam sana wa mambo haya nimekariri tu kuwa lazima TV yangu iwe na casting option.
Mdau sorry ku interfere, nielekeze jinsi ya kufanya mirroring.Kama simu yako inaweza kutoa hdmi out(sio zote, inabidi ufanye research) unaweza kununua cable/adapter usb-c kwenda hdmi.
Njia nyingine ndo hiyo ya kununua dongle ila hizi nazo kuna shida zake, itabidi uwe na wifi hiyo dongle na simu zote ziunge na pia sio kila app kwenye simu itasupport casting, labda mirroring.
TV na simu zinabidi zisupport tech/protocol moja ya mirroring, Miracast ndo maarufu zaidi kila manufacturer anaipa jina lake, Samsung kwa mfano wanaiita Smart View, ukivuta panel chini ukachagua Smart View itaanza kutafuta TV na zitaungana kama TV inasupport Mirracast (inawezekana ikabidi uwashe kwenye settings za TV), sikumbuki kama unahitaji router kuunga devices ila zikishaunga sidhani kama inahitajika device zinaungana moja kwa moja wanaita Wifi-Direct screen ya simu inaonekana kwenye TV na unaweza kwenda opposite pia screen ya TV ionekane kwenye simu.Mdau sorry ku interfere, nielekeze jinsi ya kufanya mirroring.
Tv ni smart.