Mungu akusameheSimple tu, nunua pipi uza,
Ni vitengo sensitive sana kupata ni issueHapo unatakiwa ukasome course inaitwa procurement & Supply chain / Logistics management. Baada ya hapo unaenda kupiga mitihan ya board ( PSPTB). hapo sas ndo unakuwa kama hao unao watamani sasa.
#KAMA HAUNA CONNECTION ACHANA NA HII KITU WE ENDELEA NA MARKETING MZEE, NINA MAANISHA [emoji848].
Afanye mazingatio km hana connection aendelee tu na iyo masoko nimeongezea msisitizoHapo unatakiwa ukasome course inaitwa procurement & Supply chain / Logistics management. Baada ya hapo unaenda kupiga mitihan ya board ( PSPTB). hapo sas ndo unakuwa kama hao unao watamani sasa.
#KAMA HAUNA CONNECTION ACHANA NA HII KITU WE ENDELEA NA MARKETING MZEE, NINA MAANISHA [emoji848].
Kwanini usomee kila kitu darasani?Hapo unatakiwa ukasome course inaitwa procurement & Supply chain / Logistics management. Baada ya hapo unaenda kupiga mitihan ya board ( PSPTB). hapo sas ndo unakuwa kama hao unao watamani sasa.
#KAMA HAUNA CONNECTION ACHANA NA HII KITU WE ENDELEA NA MARKETING MZEE, NINA MAANISHA [emoji848].