The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
28Una umri gani..?
Tatizo process zake,Omba kuonana na rais ikulu
Ila unatakiwa kuwa mvumilivuTatizo process zake,
Kawaida sana sio kama udhaniavyo na hakuna sehemu isiyohitaji uvumilivuIla unatakiwa kuwa mvumilivu
Ndio maana nimekuja kuuliza humu jf .hahaa co rahis kama unavodhan
usiwaone na hivyo visuti walivyovaa ukadhani wanafurahia maisha. wengi wao wanatamani kutoka lakini hawawezi walishapigwa vitasa hawana uhuru maana kutoka haiwezekani. Tafuta shughuli tu ya kukuingizia kipato ishi maisha huru mazuri na matamu.Bonjuor
Wakuu Sina mengi ya kuuliza ila unaweza ku connect heading na picha,
Nawezaje kuwa miongoni mwao..
View attachment 2628443View attachment 2628444
Anzia UVCCM.Ndio maana nimekuja kuuliza humu jf .
Naamini humu jf, Kuna kila aina ya watu, Naamini sana jamii ya watu