The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
- Thread starter
-
- #21
Hahaha hapanaWewe ndio huyo kwenye picha? Tuanzie hapo kwanza [emoji39][emoji39][emoji39]
Sasa kama vya ovyo.. Hawo wasingekuwepo, ni mambo ya protocol so lazima yawepo ..Mnatamani vitu vya ovyo kabisa...kadri unavojua siri nyingi na kifo chako hakiko mbali.
Acha.
Hahaha sijui nikwambiaje, ila ishu sio hizo suti Mzee baba..Visuti uchwara hivyo ndivo vinakufanya utamati vitu vya hovyo?kama ni suti hata wewe unaweza kushona tu ukapendeza vizuri tu.
Ni uzalendo tu mkuu.unataka kuwa kitengo kwa madhumuni gani.?
isije kuwa ndo wale mnaopenda jeshi kwenye sherehe za uhuru.
Good ideaAnzia UVCCM.
Ni ushauri tu, Fanya mambo mengineSasa kama vya ovyo.. Hawo wasingekuwepo, ni mambo ya protocol so lazima yawepo ..
ni kweli kabisa mkuu but kuna uproud ndani yake, mana vijana wengi wa kipindi hiki wapo serious na uzalendo but social media zinawatoa kwenye ramani.Ni uzalendo tu mkuu.
Nipo na mishe mzeee, sio kwamba nipo tu,Ni ushauri tu, Fanya mambo mengine
Hapo ndio wanaferi...ni kweli kabisa mkuu but kuna uproud ndani yake, mana vijana wengi wa kipindi hiki wapo serious na uzalendo but social media zinawatoa kwenye ramani.
SafiNipo na mishe mzeee, sio kwamba nipo tu,
HahahahahahaAchana na hizo kazi..Tena ukiwa offered kimbiaaa mbio nyingi ujikute uko ushirombo uko
Hahaha upo kama mimi brohkila kazi ina miiko yake na changamoto zake, usimkatishe tamaa. hizi kazi zingine ni uzalendo tu sio kwenda kupata raha. mimi hata bure nikiambiwa napiga.
Mimi nilipitia jkt mujibu wa sheriaBaadhi ya Vigezo vya lazima
1. At least uwe na 26 kushuka chini
2. Uwe na background ya jeshi. Lbd ulipitia suma ulivyo maliza form 6 au au ulienda jeshini kujitolea kupata mafunzo
TISS kuna aina tofauti tofauti vya unit. mfano nichukulie hicho amabacho ume ki post.
Hapa kwetu kinaitwa PPU (Presidential Protection Unit ) au wengi wamezoea PSU (Presidential Security Unit) hiki ma mahususi wa ajili ya usalama wa raisi kaama jina lake linavyo sadifu.
Kuna njia kama 3 za zinazotumiwa ku recruit watu wa PPU
1. JWTZ / JKT
labda tusema PPU wanataka staff wapya, mostly wanawachukua selected candidate walio pendekezwa nakamanda, wanapitia kwenye mchujo alafu wanakua TISS chini ya PPU
Kuna wanangu kama wa tatu, tulikuwa nao Suma jkt, sijui ilikuwaje aisee walipata bahati ya kuingia huko .Baadhi ya Vigezo vya lazima
1. At least uwe na 26 kushuka chini
2. Uwe na background ya jeshi. Lbd ulipitia suma ulivyo maliza form 6 au au ulienda jeshini kujitolea kupata mafunzo
TISS kuna aina tofauti tofauti vya unit. mfano nichukulie hicho amabacho ume ki post.
Hapa kwetu kinaitwa PPU (Presidential Protection Unit ) au wengi wamezoea PSU (Presidential Security Unit) hiki ma mahususi wa ajili ya usalama wa raisi kaama jina lake linavyo sadifu.
Kuna njia kama 3 za zinazotumiwa ku recruit watu wa PPU
1. JWTZ / JKT
labda tusema PPU wanataka staff wapya, mostly wanawachukua selected candidate walio pendekezwa nakamanda, wanapitia kwenye mchujo alafu wanakua TISS chini ya PPU