GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Jitihada kadhaa zimeshafanyika bila mafanikio.
Zilipoanza kutafuna nyasi za "garden", ilisemekana kukimwagiliziwa kila siku hilo tatizo litaisha. Hilo limekuwa likifanyika tokea mwaka Jana lakini halijasaidia.
Nilipoenda duka la pembejeo, nilipewa dawa inayoonekana hapo chini. Imeshapuliziwa zaidi ya mara moja lakini mchwa bado wameendelea kuzifaidi nyasi ambazo hawajzitolea jasho.
Naomba wajuzi mliomo humu mnipe mbinu ya kuweza kuwatokomeza hao viumbe bila kung'oa nyasi.
Asanteni.
Zilipoanza kutafuna nyasi za "garden", ilisemekana kukimwagiliziwa kila siku hilo tatizo litaisha. Hilo limekuwa likifanyika tokea mwaka Jana lakini halijasaidia.
Nilipoenda duka la pembejeo, nilipewa dawa inayoonekana hapo chini. Imeshapuliziwa zaidi ya mara moja lakini mchwa bado wameendelea kuzifaidi nyasi ambazo hawajzitolea jasho.
Naomba wajuzi mliomo humu mnipe mbinu ya kuweza kuwatokomeza hao viumbe bila kung'oa nyasi.
Asanteni.