Nawezaje kuwashtaki TANESCO kwa kuchelewesha kuunganisha umeme?

Nawezaje kuwashtaki TANESCO kwa kuchelewesha kuunganisha umeme?

Adolph Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
5,950
Reaction score
9,511
Wasalaam wanajukwaa,

Ilikuwa mwaka jana (2021) mwezi wa tisa nilipochukua fomu ya Tanesco kuomba kufungiwa umeme kwangu, walinipatia bila masharti yeyote nilijaza na kuwarudishia tatizo lilianzia kutumiwa "control number". Walinizungusha sana hadi mwezi February mwaka huu(2022) ndiyo walinitumia sikuona ajabu maana hili shirika kulaumiwa kwao ni kawaida.

Sasa kisanga kikuu ni baada ya kulipia huo mwezi wa pili hadi leo hii tarehe 10/06/2022 mambo bila bila.

Nikiwapigia simu wanasema niendelee kusubir, hivi hii imekaaje kusubiria umeme karibia mwaka mzima ni haki kweli? Na je Watanzania wote nao wanapitia adha kama hii na wako kimya tu?

Mimi nimeamua kutafuta njia nyingine.

1: Naomba kufahamu namna ya kuwasiliana na Rais,Waziri mkuu au waziri anayehusika na nishati niwasilishe dukuduku langu..hasa hasa kwa email.

2: Ikishindikana naomba kufahamu namna ya kulifungulia mashtaka (mahakamani) shirika hili kwa kunipotezea muda wangu wa kwenda wilayani kufuatilia umeme na pia kunikoshesha kipato maana nilikuwa nina mpango wa kufungua biashara hapa kwangu inayohitaji umeme.

3: Mwisho nitashukuru kwa msaada wenu wa kufanikisha suala hilo.
 
Wasalaam wanajukwaa,

Ilikuwa mwaka jana (2021) mwezi wa tisa nilipochukua fomu ya Tanesco kuomba kufungiwa umeme kwangu, walinipatia bila masharti yeyote nilijaza na kuwarudishia tatizo lilianzia kutumiwa "control number". Walinizungusha sana hadi mwezi February mwaka huu(2022) ndiyo walinitumia sikuona ajabu maana hili shirika kulaumiwa kwao ni kawaida.

Sasa kisanga kikuu ni baada ya kulipia huo mwezi wa pili hadi leo hii tarehe 10/06/2022 mambo bila bila.

Nikiwapigia simu wanasema niendelee kusubir, hivi hii imekaaje kusubiria umeme karibia mwaka mzima ni haki kweli? Na je Watanzania wote nao wanapitia adha kama hii na wako kimya tu?

Mimi nimeamua kutafuta njia nyingine.

1: Naomba kufahamu namna ya kuwasiliana na Rais,Waziri mkuu au waziri anayehusika na nishati niwasilishe dukuduku langu..hasa hasa kwa email.

2: Ikishindikana naomba kufahamu namna ya kulifungulia mashtaka (mahakamani) shirika hili kwa kunipotezea muda wangu wa kwenda wilayani kufuatilia umeme na pia kunikoshesha kipato maana nilikuwa nina mpango wa kufungua biashara hapa kwangu inayohitaji umeme.

3: Mwisho nitashukuru kwa msaada wenu wa kufanikisha suala hilo.
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe

Namba ya simu au namba ya ombi uliyotumia kuomba umeme kwa huduma zaidi, unaweza kutuma hapa au inbox kwa hatua zaidi

Ahsante sana
 
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe

Namba ya simu au namba ya ombi uliyotumia kuomba umeme kwa huduma zaidi, unaweza kutuma hapa au inbox kwa hatua zaidi

Ahsante sana

Tanesco mnazingua sana tuseme tu ukweli
Kama ni rushwa simseme? Mnasumbua watu sana.

Mtaani kwetu wameweka nguzo tangu March lakini hadi leo hakuna waya ulioletwa tumejaza fomu za kuomba umeme hata control number hatujawahi kuipata

Tanesco mnatusumbua sana
 
Tanesco mnazingua sana tuseme tu ukweli
Kama ni rushwa simseme? Mnasumbua watu sana.

Mtaani kwetu wameweka nguzo tangu March lakini hadi leo hakuna waya ulioletwa tumejaza fomu za kuomba umeme hata control number hatujawahi kuipata

Tanesco mnatusumbua sana
Kweli aisee mm natafuta namna ya kumwambia raisi licha ya kuwa sikumchagua ila siyo haki
 
Wasalaam wanajukwaa,

Ilikuwa mwaka jana (2021) mwezi wa tisa nilipochukua fomu ya Tanesco kuomba kufungiwa umeme kwangu, walinipatia bila masharti yeyote nilijaza na kuwarudishia tatizo lilianzia kutumiwa "control number". Walinizungusha sana hadi mwezi February mwaka huu(2022) ndiyo walinitumia sikuona ajabu maana hili shirika kulaumiwa kwao ni kawaida.

Sasa kisanga kikuu ni baada ya kulipia huo mwezi wa pili hadi leo hii tarehe 10/06/2022 mambo bila bila.

Nikiwapigia simu wanasema niendelee kusubir, hivi hii imekaaje kusubiria umeme karibia mwaka mzima ni haki kweli? Na je Watanzania wote nao wanapitia adha kama hii na wako kimya tu?

Mimi nimeamua kutafuta njia nyingine.

1: Naomba kufahamu namna ya kuwasiliana na Rais,Waziri mkuu au waziri anayehusika na nishati niwasilishe dukuduku langu..hasa hasa kwa email.

2: Ikishindikana naomba kufahamu namna ya kulifungulia mashtaka (mahakamani) shirika hili kwa kunipotezea muda wangu wa kwenda wilayani kufuatilia umeme na pia kunikoshesha kipato maana nilikuwa nina mpango wa kufungua biashara hapa kwangu inayohitaji umeme.

3: Mwisho nitashukuru kwa msaada wenu wa kufanikisha suala hilo.
Mkuu ni umeme wa REA?
 
Wasalaam wanajukwaa,

Ilikuwa mwaka jana (2021) mwezi wa tisa nilipochukua fomu ya Tanesco kuomba kufungiwa umeme kwangu, walinipatia bila masharti yeyote nilijaza na kuwarudishia tatizo lilianzia kutumiwa "control number". Walinizungusha sana hadi mwezi February mwaka huu(2022) ndiyo walinitumia sikuona ajabu maana hili shirika kulaumiwa kwao ni kawaida.

Sasa kisanga kikuu ni baada ya kulipia huo mwezi wa pili hadi leo hii tarehe 10/06/2022 mambo bila bila.

Nikiwapigia simu wanasema niendelee kusubir, hivi hii imekaaje kusubiria umeme karibia mwaka mzima ni haki kweli? Na je Watanzania wote nao wanapitia adha kama hii na wako kimya tu?

Mimi nimeamua kutafuta njia nyingine.

1: Naomba kufahamu namna ya kuwasiliana na Rais,Waziri mkuu au waziri anayehusika na nishati niwasilishe dukuduku langu..hasa hasa kwa email.

2: Ikishindikana naomba kufahamu namna ya kulifungulia mashtaka (mahakamani) shirika hili kwa kunipotezea muda wangu wa kwenda wilayani kufuatilia umeme na pia kunikoshesha kipato maana nilikuwa nina mpango wa kufungua biashara hapa kwangu inayohitaji umeme.

3: Mwisho nitashukuru kwa msaada wenu wa kufanikisha suala hilo.
Waandikie demand letter intention to sue wape siku 90 uwaambie madai yako wayafanyie kazi wasipoyafanyia kazi waburuze mahakamani
 
Waandikie demand letter intention to sue wape siku 90 uwaambie madai yako wayafanyie kazi wasipoyafanyia kazi waburuze mahakamani
Sorry ..kwahiyo nikimaliza naenda kuiweka kwenye suggestion box au kwa manager wa wilaya?
 
Kwa experience yangu surveyor hana msaada kivile zaidi ya kuchora ramani ya wiring ilivyofanyika
Kweli maana na yeye alinisumbua mwaka mzma hataki kupeleka taarifa zangu ofisini
 
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe

Namba ya simu au namba ya ombi uliyotumia kuomba umeme kwa huduma zaidi, unaweza kutuma hapa au inbox kwa hatua zaidi

Ahsante sana
Mbona nimetuma hamjajibu wiki sasa..??
 
Wasalaam wanajukwaa,

Ilikuwa mwaka jana (2021) mwezi wa tisa nilipochukua fomu ya Tanesco kuomba kufungiwa umeme kwangu, walinipatia bila masharti yeyote nilijaza na kuwarudishia tatizo lilianzia kutumiwa "control number". Walinizungusha sana hadi mwezi February mwaka huu(2022) ndiyo walinitumia sikuona ajabu maana hili shirika kulaumiwa kwao ni kawaida.

Sasa kisanga kikuu ni baada ya kulipia huo mwezi wa pili hadi leo hii tarehe 10/06/2022 mambo bila bila.

Nikiwapigia simu wanasema niendelee kusubir, hivi hii imekaaje kusubiria umeme karibia mwaka mzima ni haki kweli? Na je Watanzania wote nao wanapitia adha kama hii na wako kimya tu?

Mimi nimeamua kutafuta njia nyingine.

1: Naomba kufahamu namna ya kuwasiliana na Rais,Waziri mkuu au waziri anayehusika na nishati niwasilishe dukuduku langu..hasa hasa kwa email.

2: Ikishindikana naomba kufahamu namna ya kulifungulia mashtaka (mahakamani) shirika hili kwa kunipotezea muda wangu wa kwenda wilayani kufuatilia umeme na pia kunikoshesha kipato maana nilikuwa nina mpango wa kufungua biashara hapa kwangu inayohitaji umeme.

3: Mwisho nitashukuru kwa msaada wenu wa kufanikisha suala hilo.
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe

Namba ya simu au namba ya ombi uliyotumia kuomba umeme kwa huduma zaidi, unaweza kutuma hapa au inbox kwa hatua zaidi
 
Back
Top Bottom