Nawezaje kuzuia wafanyakazi kuiba vifaa vya ofisi?

Nawezaje kuzuia wafanyakazi kuiba vifaa vya ofisi?

TEMBO WANGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
930
Reaction score
1,290
Wakuu habari za muda huu,

Kuna kaofisi nategemea kuanzisha hivi karibuni ambapo nategemea kuajiri vijana nitakaoweza kuwalipa cash kwa mwezi, sasa ninapokwama ni kwamba hiyo ofisi itakuwa na mashine za kazi ambazo hao vijana watakuwa wanatumia kuingia nazo mtaani kufanya mauzo na kisha jioni kurudisha ofisini. Wasiwasi wangu je vipi kuhusu mtu kuondoka na mashine hizo moja kwa moja asirudi tena.

Ikifikia hapo ndio huwa nakwama kuanzisha hiyo kampuni. Je, nitawezaje kujihakikishia usalama wa mashine zangu? Au wafanyakazi waache vyeti vyao original ofisini?

Ushauri wenu ndugu, pia mtanisamehe kwa kuwa sitazitaja hizo mashine kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
 
Wakuu habari za muda huu,

Kuna kaofisi nategemea kuanzisha hivi karibuni ambapo nategemea kuajiri vijana nitakaoweza kuwalipa cash kwa mwezi, sasa ninapokwama ni kwamba hiyo ofisi itakuwa na mashine za kazi ambazo hao vijana watakuwa wanatumia kuingia nazo mtaani kufanya mauzo na kisha jioni kurudisha ofisini. Wasiwasi wangu je vip kuhusu mtu kuondoka na mashine hizo moja kwa moja asirudi tena.

Ikifikia hapo ndio huwa nakwama kuanzisha hiyo kampuni. Je, nitawezaje kujihakikishia usalama wa mashine zangu? Au wafanyakazi waache vyeti vyao original ofisini?

Ushauri wenu ndugu, pia mtanisamehe kwa kuwa sitazitaja hizo mashine kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Wakale viapo mahakamani kwanza pili kila mmoja awe na mdhamini wake Wa karibu risk za bishara IPO ila lazima uzipunguze
 
Wakuu habari za muda huu,

Kuna kaofisi nategemea kuanzisha hivi karibuni ambapo nategemea kuajiri vijana nitakaoweza kuwalipa cash kwa mwezi, sasa ninapokwama ni kwamba hiyo ofisi itakuwa na mashine za kazi ambazo hao vijana watakuwa wanatumia kuingia nazo mtaani kufanya mauzo na kisha jioni kurudisha ofisini. Wasiwasi wangu je vip kuhusu mtu kuondoka na mashine hizo moja kwa moja asirudi tena.

Ikifikia hapo ndio huwa nakwama kuanzisha hiyo kampuni. Je, nitawezaje kujihakikishia usalama wa mashine zangu? Au wafanyakazi waache vyeti vyao original ofisini?

Ushauri wenu ndugu, pia mtanisamehe kwa kuwa sitazitaja hizo mashine kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Kibarua unamlipa laki mbili alafu unamkabidhi mtambo wa milioni mia.

Njia nzuri ya kuepuka wizi boresha malipo alafu waamini na ujenge uhusiano mzuri nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom