Nawezaje kwenda JKT

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,215
Reaction score
322
Mimi ni muajiriwa na nina miaka kadhaa kazini napenda sana kwenda JKT nifanyeje?
 
Hiv na wale wakujitolea mwaka huu wanaripoti lini? Maana mwezi wa sita ndoo huu na siku zinazidi kwenda..
 
Mimi ni muajiliwa na nina miaka kazaa kazini napenda sana kwenda jkt nifanyeje?


Lengo hasa la wewe kutaka kwenda ni lipi?

Well,kuna nafasi za JKT kwa kujitolea kila mwaka huwa zinatoka wilayani mnaapply.

Au kama una connection na wazee waliochafuka mabega makao kule utaenda kwa 'baba kan'tuma' style

Mwaka huu nadhani wameshachaguliwa
 
umri upi ni mwisho kwa wakujitolea?

kwa wenye elimu kuanzia darasa la 7 hadi fom6
Ni miaka 18 mwisho miaka 23
Kwa wenye shahada na sta shahada mwisho miaka 26 kama sijakosea..
 
kwa wenye elimu kuanzia darasa la 7 hadi fom6
Ni miaka 18 mwisho miaka 23
Kwa wenye shahada na sta shahada mwisho miaka 26 kama sijakosea..

Kwa hapo sina sifa
 
Bado wanachukua chinichin ingawa kuna watu walishapangiwa kambi,, wame extend mda wa kuripoti hadi mwez wa 9 kwa wale wa kujitolea so anaweze akafuatilia na akapata ila awe na 1M mkonon
 
Bado wanachukua chinichin ingawa kuna watu walishapangiwa kambi,, wame extend mda wa kuripoti hadi mwez wa 9 kwa wale wa kujitolea so anaweze akafuatilia na akapata ila awe na 1M mkonon

Hahaaa 1M? mtaji wa mjasiliamali kabisaaa, bola si nikomae na ajira yangu selikalini. nilitaka nikajifunze uzalendo tu ili tujenge nchi tena nihonge? teh teh teh . . . . . .
 
Bado wanachukua chinichin ingawa kuna watu walishapangiwa kambi,, wame extend mda wa kuripoti hadi mwez wa 9 kwa wale wa kujitolea so anaweze akafuatilia na akapata ila awe na 1M mkonon

Kuripot mwezi wa 9:what::what:
 
Hahaaa 1M? mtaji wa mjasiliamali kabisaaa, bola si nikomae na ajira yangu selikalini. nilitaka nikajifunze uzalendo tu ili tujenge nchi tena nihonge? teh teh teh . . . . . .
Wako after money sana kama huna ndugu yoyote uko juu ujue lazima uhonge bila ya hivo nafasi hupati
 
Ndo mana Tanzania haitaendelea.
Watu badala wafanye kazi eti wanaenda JKT
 
huo umri hautaokelewa mkuu...
kwanza nini unachohitaji huko jeshini? kama ni mazoezi ni wewe tu na mda wako unaweza ukafanya sana. . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…