Elon J
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 635
- 1,907
Hawa jamaa wamejitoa mhanga haswa maana kwa Africa ukiwa mkweli wewe ni adui. Hawa jamaa wamekuwa wakweli sana katika kufumua maovu na uchafu unaifanywa na hawa wachumia tumbo. Hio ndio maana halisi ya sanaa.
Wakati wasanii wengine wamegeuka machawa. But Africa ukijifanya mtetezi wa wanyonge utaanza kuchukiwa mpaka na wale wanyonge unaowatetea. (Africa is dark continent).
Daaa! Ngoja niendelee kusikiliza Ngoma ya Ney hapa
Raiiiiiiiiiiiiiiiiiis🎵
Kitaaan president!🎵
Aaah nitakachokiongea waweza niona sio mzalendo. Uzalendo gan nchi inaendeshwa kimagendo🎵
Kila kitu kipo wazi mamaenu analea wenzi🎵
Hata ripoti ya CAG hakuna aliyechukuliwa hatua🎵
Bandari mumemuuzia muarabu na mkataba wa milele🎵
Charger imekata😥😥
Wakati wasanii wengine wamegeuka machawa. But Africa ukijifanya mtetezi wa wanyonge utaanza kuchukiwa mpaka na wale wanyonge unaowatetea. (Africa is dark continent).
Daaa! Ngoja niendelee kusikiliza Ngoma ya Ney hapa
Raiiiiiiiiiiiiiiiiiis🎵
Kitaaan president!🎵
Aaah nitakachokiongea waweza niona sio mzalendo. Uzalendo gan nchi inaendeshwa kimagendo🎵
Kila kitu kipo wazi mamaenu analea wenzi🎵
Hata ripoti ya CAG hakuna aliyechukuliwa hatua🎵
Bandari mumemuuzia muarabu na mkataba wa milele🎵
Charger imekata😥😥