the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,755
- 835
I quote
"Mimi naona amefikiri na amechukua uamuzi sahihi kwa sababu simuoni anachofanya namuona kama msindikizaji tuu. Na aende akatafute kitu cha maana cha kufanya na sio kulelewa na wanawake/kuolewa na wanawake.
Na kama atashindwa kupata kitu cha maana cha kufanya aje kwangu nitamshauri afanye nini"
NB: I don't know reaction ya Nick itakuwaje :thinking:
ameshaijibu kwa free style "hakuna kusanda kukaza mpaka A to zii,unaongelea akadumba?who is nay to me"lakini apo "na aende akatafute kitu cha kufanya na sio kulelewa na wanawake/kuolewa na wanawake"umeongeza chumvi mkuu posti ipo kwenye website ya millardayo na bongo 5
ameshaijibu kwa free style "hakuna kusanda kukaza mpaka A to zii,unaongelea akadumba?who is nay to me"lakini apo "na aende akatafute kitu cha kufanya na sio kulelewa na wanawake/kuolewa na wanawake"umeongeza chumvi mkuu posti ipo kwenye website ya millardayo na bongo 5
Mmh........
ameshaijibu kwa free style "hakuna kusanda kukaza mpaka A to zii,unaongelea akadumba?who is nay to me"lakini apo "na aende akatafute kitu cha kufanya na sio kulelewa na wanawake/kuolewa na wanawake"umeongeza chumvi mkuu posti ipo kwenye website ya millardayo na bongo 5
Huyo ney anaimba nini cha kumcheka mwenzie?
Wimbo wa mwisho wa Neema kuuelewa ni ule wa 'itafahamika'...
Sijui kazipa nini media, kiswahili chenyewe hajui..
Kwahiyo anaimba english cio???
Mimi ninayo audio yake
Sina maslahi yoyote yakunifanya niongeze au kupunguza maneno