na christian bella piaManeno yanayofanan na hayo yaliwahi kutamkwa na Banarba Boy.
Kwani kazungumzwa diamond pekee mbona alikiba katajwaSawa Ney, ila nachojiuliza hivi bongofleva haiwezi kuendelea bila kumzungumzia Diamond? Maana kila siku nikija humu nakutana na matamko, mara mwingine amzungumzie sijui hastahili kuitwa Simba.
Anaitafuta collabo kwa lazmaNay anajaribu kurudisha mashabiki wa upande wa pili waende kwake.
Madawa ya Kulevya.Kumbe diamond ni mfanyabiashara!!!biashara gani hiiyo!!!!
Acha Jazba jamaa was Madale.Hivi huyo ney kuna watu wanamsikilizaga
Imepenya hiyooooooooooNay anajaribu kurudisha mashabiki wa upande wa pili waende kwake.
Nilipo upo,safi sana Mzaramo.Imepenya hiyoooooooooo
Ni kweli maana hata kuomba hata chiriku anaimba ila hana mafanikioKama ni kuimba watu wanaimba toka enzi hizo, tunachoangalia ni ubunifu na mafanikio kulingana na kazi zako,mtu anaimba lakini sio mbunifu kuna faida gani sasa ya kuimba.
Kwa ulivyoandika inaonyesha una IQ ya aina ganiNi kweli maana hata kuomba hata chiriku anaimba ila hana mafanikio
Wewe je si una IQ Kama ya ali kibaKwa ulivyoandika inaonyesha una IQ ya aina gani
Ulichokiandika sasa una umri gani? ? Ngoja nikufafanulie hutakiwi kusema fulani hana mafanikio navyojua Alikiba na Diamond wana pesa nyingi kuzidi sisi tunao comment humu ndani na siku zote mwenye IQ kubwa au mwenye mafanikio hawezi kusema fulani hajafanikiwa ukiona mtu ana mawazo hayo ujue ana mawazo ya kimaskini, IQ yake ni ndogo au ana utindio wa ubongo mkuu na jinsi ulivyonjibu najua bado unakula kwa baba na Mama hujajua maisha bado ni nini mdogo wangu AsanteWewe je si una IQ Kama ya ali kiba
Ujumbe umekufikia tafakari hujachelewa Maisha badoKiba mavi yale