ndege JOHNMiongoni mwa vitu vilivyonikera kwa ney ni hili aisee nimemuona ni bonge moja la falaa halafu ni muoga muoga kama yale mandege yanayoitwa ndege john
Yani kalainishwa kidogo tu huyo kalainika kama mlenda
Safi sana Ney....unaonyesha ukomavu fulani.Naongeza, ..........." Mawaziri watakaofanya sherehe baada ya kuacha uwaziri".... WAPOOOOOOOO
Yap akiurekebisha amtumie tu mkulu, mie nasikiliza huu ndio nimeukubali!Akiurekebisha na kuanza kumsifia aende nao dodoma akamuuzie, sisi tumeupenda huu huu hatuuachi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uchoheziWaliokula hela Za wahanga wa tetemeko wapo.
Wanaowapiga wake zao pia wapo
Wanaoingilia muhimili wa bunge Na mahakama wapo
Waliodanganya kuboresha maisha ya watanzania wakati wa kampeni wapo
Wanaodharau watoto wa maskini kwa Kuwaiti Vilaza pia wapo.
bora na wewe mkuu umeliona hiliNonsense, bila kuvuka mipaka ni nini? Define what is bila kuvuka mipaka
yaah ndege john ,huyajui hayo mandege mkuu?
exactlyNey acha mambo yako wrw yeye kasema hspangiwi cha kufanya sasa iweje akupangie wew cha kuimba kataaaa hayo marekebisho ongezea maneno mengine zaid mambo gan hayo sasa kama anataka marekebisho apeleke akasikilize koromije na mwisho kusikika iwe ikul ila kitaa tunautaka huuhuu wa kwetu
picha ingesaidia kuyatambua au ni sawa na ndege aina ya korongoyaah ndege john ,huyajui hayo mandege mkuu?
Miongoni mwa vitu vilivyonikera kwa ney ni hili aisee nimemuona ni bonge moja la falaa halafu ni muoga muoga kama yale mandege yanayoitwa ndege john
Yani kalainishwa kidogo tu huyo kalainika kama mlenda
Eti mkuu inaingia akilin kwel kusikiliza remix na huku original ina vionjo vyote tunavyovitakaexactly