Nay wa Mitengo, laana ya baba ake na mihemko ya kisiasa ina mvuruga kichwa

Huu ni ukweli mtupu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hii tabia ya kutokubali kuambiana ukweli ndiyo inalifanya taifa la wanafki na machawa kwa kujaza matumbo tu
 
Fuatilia historia ya 2pac maisha aliyo kulia mpaka mashairi yake kutumika kwenye vyuo vikubwa kama Havard,kukulia mtaani na kulelewa na baba wa kambo sio hoja,punguza makasiliko ndugu
 
Wewe utakuwa umekutana na waalimu wajanja,wanakupigs bila kujijua.Shule ni bure,hakuna malipo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mbona mimi naona kuwa wewe ndo UME LAANIWA.
 
Wivu utakuua.Huyo mama sio mwenzako,amefijia level ya urais,wewe hata uwenyekiti wa mtaa huna.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana chawa wa mama. Alichokiimba ni kweli tupu. Kama wewe ni mkweli sema hata kimoja alichoimba ambocho sio cha kweli
Hakuna ukweli wowote,angejiimba yeye mwenyewe,kwa kukosa hata uenyikiti wa mtaa.Unamuimba mtu mwenye baraka za wazazi wake,mpaka kufikia level ya urais su uwaziri,wakati yeye muimbaji hata uwenyekiti wa mtaa,hana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe wewe ni choko!
Nilijua umeandika kitu cha maana.
Wangapi wamesoma tena shule za gharama kubwa na sasa wana bachelor lakini maisha yamewachapa na hawana hizo kazi nzuri zaidi ya Nay anayekoroma?
 
Utaumia bure,kwa kupoteza wakqti wako.Walio na vyeo,ni baraka za wazazi wao,na kutokuwa wavivu.Ukiwa mvivu,utalalamika na kuoinga kila kitu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…