Nay wa Mitengo, laana ya baba ake na mihemko ya kisiasa ina mvuruga kichwa

Wavivu ndio wanaolalamika.Fanyeni kazi,acheni uvivu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mwenzetu hyo kaz gan unayosisitiza tukafanye! Maana kimsingi tunafanya kazi zetu na ziada tunayopata ndo tunanunulia bundle tunazama jf! Hatununuliwi na ofisi ndogo lumumba! Au mwenzetu unafi.i.rwa unataka na sisi tukudumbukizie madudu yetu? Ndo uone tunagonga mzigo wa heshima? Weka namba au tukufuate pm.
 
Tuanze apa---Kwanza, Nay wa Mitego siyo msanii, bali ni mtu aliyevamia fani hiyo kutoka katika magenge ya uhalifu na uchoraa.......
Tumalizie apa --Tatu, huyu ni miongoni mwa wasanii wanaotumika na Wanaharakati, Wanasiasa wa upinzani na Baadhi ya Taasisi katika kutimiza matakwa yao ya Kisiasa,.....
 
Mm naona tuanze kukupuuza ww. Huyo ney unaemsema sio mwenzako usiangalie past yake kama ilikua mbovu leo kajipata ndio maana unamuongelea kama ni wakupuuzwa basi ungempuuza. Uchawa unakusumbua umesahau kuandika jina na namba ya simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…