Nayageuza vipi mahusiano ya kawaida kuwa Mahusiano ya kimapenzi

Nayageuza vipi mahusiano ya kawaida kuwa Mahusiano ya kimapenzi

Mtongoze alafu tulia usimpe attention Ile uliyokua unampa tulia tuli kama anakuhitaji atakutafuta, shida ni hapo kwenye kushikilia bomba utaweza...!
 
Ukute nae Wala Hana feelings kabisa nawe..utajikuta unapoteza vyote.
Ila nikusahuri mpe sana mda wako,mjali,mpende sana,toka nae matembezi,vizawadi,mawasiliano ukiwa mbali nae.msaidie msapoti pale uwezo wako ulipo.
Kwa kufanya vitu vya aina hii vingi utajenga bond imara nae.hata siku ikitokea ukafunguka feelings zako kwake itakuwa ngumu kukutalia
 
Mkuu 0765375442... hiyo ni namba ya mganga nguli kwelikweli mtafute akutatulie alishawahi kunirudishia ex wangu ambae huyo ex nae alikuwa ni mganga!, yani ni mganga anaeloga waganga!.
 
Wakuu
Naishi vipi na huyu mrembo wa kishua kama rafiki tu, naona haiwezekani.

Nitumie njia gani huu urafiki wa kawaida unipe tunda hili.
Wataalamu na wabobezi wa jf nijuzeni kwa niaba ya wadau wengine pia
Asante
Nenda kwa mganga mwamposa akupe dawa ya kupaka, utakuwa ubayapaka hayo mahusiano mara nne kwa siku, baada ya masaa 72 utaanza kuona matokeo.
 
Una miaka mingapi kwanza!?
Mwanamke unayemtaka usikubali awe rafiki yako, ukimtongoza akikataa na kukwambia tuwe marafiki, unamwambia direct nilionao wananitosha wewe nakutaka. Hataki kata mawasiliano
 
Back
Top Bottom