Nazi zaadimika Tanga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kutoka Tanga zinaeleza kwamba wananchi wameanza kupikia mafuta ya kula , baada ya nazi kuadimika kwenye masoko.

Haijulikani hasa sababu ya Nazi hizo kuadimika ghafla , bali wanazuoni wanaona kwamba , huenda matumizi ya kishirikina hasa kuelekea siku ya fainali ya Simba na Yanga kwenye ngao ya jamii yaweza kuwa sababu kuu
 
Syo tu tanga but after ten years Nazi zitakua adimu......wakulima wengi wa Nazi wanategemea mashamba ya urithi......Nazi is a good investment kufanya kwa sababu after years upatikanaj wake utakua wa shida
 
Sijui Simba wataacha lini kutegemea ushirikina kwenye kila jambo?
 
Sio Tanga tu hata DSM zimekuwa adimu sana yaani nazi ya sh 1000 ukubwa wake kama ngumi. πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…