denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Salaam.
Kufuatia usajili uliofanywa na Simba SC wa kumchukua winga fundi toka Malawi, Banda, naziona siku za Miq kuendelea kubakia Msimbazi zimefika mwisho.
Tetesi zinasema Simba SC wameshakubali dau la dola milioni moja (Bilioni 2 za kitanzania) toka kwa mabingwa hao wa klabu bingwa Afrika.
Hivyo nikiangalia mlolongo wa matukio, nadhani hiyo ndio sababu iliyowavuta Simba kutoa kiasi kingine cha pesa ili kumsajili Banda toka Malawi, vinginevyo sioni sababu ya Simba SC kumsajili Banda huku tayari wakiwa na Louis Miquissone.
Wana msimbazi tujiandae kusema bye bye kwa mmakonde alieifanyia Simba SC makubwa na kuwa kipenzi cha wana msimbazi.
Kufuatia usajili uliofanywa na Simba SC wa kumchukua winga fundi toka Malawi, Banda, naziona siku za Miq kuendelea kubakia Msimbazi zimefika mwisho.
Tetesi zinasema Simba SC wameshakubali dau la dola milioni moja (Bilioni 2 za kitanzania) toka kwa mabingwa hao wa klabu bingwa Afrika.
Hivyo nikiangalia mlolongo wa matukio, nadhani hiyo ndio sababu iliyowavuta Simba kutoa kiasi kingine cha pesa ili kumsajili Banda toka Malawi, vinginevyo sioni sababu ya Simba SC kumsajili Banda huku tayari wakiwa na Louis Miquissone.
Wana msimbazi tujiandae kusema bye bye kwa mmakonde alieifanyia Simba SC makubwa na kuwa kipenzi cha wana msimbazi.