Naziona Simba na Yanga Nusu Fainali

Joined
Aug 13, 2022
Posts
41
Reaction score
98
Najua nitabezwa lakini ukweli huu mwaka Africa itasimama na kushangaa kwa jinsi timu mbili kongwe zitakavyo tinga Nusu Fainali japo kuingia fainali sina la kusema.

Timu zote mbili zilibezwa na Watanzania tena wachambuzi kutoka redio zote pendwa lakini zimevuka makund na kuingia Robo Fainali.

Leo macho yote yapo Cairo kushuhudia upangwaji wa timu zitakazo pambana Robo fainali.

Utabiri wangu utakuwa hivi;

Simba vs Esperance de Tunis

Pyramids vs Young Africans

Tuache siasa tuungane kizipambania timu zetu maana huu ndio urithi wetu na sehemu pekee kwa Mtanzania kujiliwaza kutokana na ughali wa maisha kupanda bei kwa vyakula, kodi kubwa kwa wajasiriamli.

Nawe waweza tupia utabiri wako.
 
Simba mwisho wao umefika


Nasemajeee! nasemajeee! ONYANGO KIDOGO, MAGOLI MENGIIII[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mmeyakanyagaaaaaa mtanii sio siri.[emoji119][emoji119]

R I P again BOB JUNIOR
 
SIMBA KAMTOA ZAMALECK BINGWA MTETEZI NYUMBANI KWAO MISRI 2003.

1. Juma kaseja.
2. Said swedi.
3. Ramadhani waso.
4. Victor Costa.
5. Boniface pawasa.
6. Christofer Alex.
7. Yusuph Macho.
8. Suleiman MATOLA.
9. Emanuel Gabliel.
10. Otman Machupa.
11. Ulmboka mwakingwe.

Atakuwa widad????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…