NBA 2016/2017 Season Special Thread

Hii game Spurs wameshapoteza...momentum sasa ipo kwa GSW...damn it GSW are lucky as hell...
 
now warriors tacts if you can't beat them injury their instrumental, What a shame.

Kawh ndio bye bye hivyo.
 
Hapana aisee, Kawhi kaumia mwenyewe..ali-step vibaya na ku-twist his ankle twice..
Umeangalia vizuri Pachulia alipokuwa amesimama wakati Kawh anaruka!? Alimuwekea uzibe ndio maana ikabidi a step pembeni toka pale aliporukia. Sasa hapo utasena Pachulia hajahusika na kuumia kwa Kawh.?
 
Umeangalia vizuri Pachulia alipokuwa amesimama wakati Kawh anaruka!? Alimuwekea uzibe ndio maana ikabidi a step pembeni toka pale aliporukia. Sasa hapo utasena Pachulia hajahusika na kuumia kwa Kawh.?
Ile ni bahati mbaya...I don't like GSW, lakini hapa unawaonea.
 
Gotta give it 2 the @warriors, they're a pretty good team as soon as the opponents lose all their best players. [HASHTAG]#WarriorsSpurs[/HASHTAG]
 
Haiendi huko...momentum ipo kwa GSW sasa...kumpoteza your best player dhidi ya timu kama GSW ni death penalty..
Mkuu akina Lamarcus wamezingua tu hapa mwishoni wamemuacha sana Curry halafu wao wakapoa....!!

Pamoja na hivyo kama hii game iko Oracle lakini performance ya GSW ndio hii sijui huko San Antonio hali itakuwaje.
 
Mkuu akina Lamarcus wamezingua tu hapa mwishoni wamemuacha sana Curry halafu wao wakapoa....!!

Pamoja na hivyo kama hii game iko Oracle lakini performance ya GSW ndio hii sijui huko San Antonio hali itakuwaje.
Spurs wanahitaji kuwa na the Claw...bila yeye hawana chance kwenye series...ila leo Spurs waki-steal hii game, the series will be very interesting.
 
Aisee hawa GSW wana bahati sana...they seem to win when one or two key opposition players are missing.
 
Mkuu akina Lamarcus wamezingua tu hapa mwishoni wamemuacha sana Curry halafu wao wakapoa....!!

Pamoja na hivyo kama hii game iko Oracle lakini performance ya GSW ndio hii sijui huko San Antonio hali itakuwaje.
Sawa mkuu...
Endelea KUTABIRI..!
 
Spurs wanahitaji kuwa na the Claw...bila yeye hawana chance kwenye series...ila leo Spurs waki-steal hii game, the series will be very interesting.
Daaah.... Hii game ya Leo japo matokeo ni ovyo sana kutokana na ilivyoanza, bado nawapongeza Spurs wame expose madhaifu mengi ya warriors na kilichobadilisha mchezo ni hiyo big loss ya Kawh. Itabidi spurs nao wabadilishe mindset ya kutocheza kwa kumbebesha mtu mmoja jukumu la kuibeba timu.
 
Ahsante Steph Curry..
Ahsante Kevin Durant..
Klay Thompson umecheza chini ya kiwango...
Draymond Green umecheza chini ya kiwango...
I hope game ijayo mtakua kwenye kiwango chenu cha kawaida..!
[HASHTAG]#StrengthInNumbers[/HASHTAG]
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…