NBA 2016/2017 Season Special Thread

Mkuu akina Lamarcus wamezingua tu hapa mwishoni wamemuacha sana Curry halafu wao wakapoa....!!

Pamoja na hivyo kama hii game iko Oracle lakini performance ya GSW ndio hii sijui huko San Antonio hali itakuwaje.
It can still go both ways, mkuu!. Unaona Spurs walivyokamia leo ugenini?!, the same thing can happen at their turf!. What we can say safely is, let's sit back, relax (or fidget on our seats), and enjoy (or pain'ed over) the most thrilling series so far!.
 
Surely, it is. But, let's not forget that GSW STOLE it from Spurs today. GSW got lucky. Once Kawhi was out, GSW went on a rampage, with Curry raining them threes.
 
Haha! at last!.

Sawa mkuu...
Endelea KUTABIRI..!
Eti nini hasa kimewapa ushindi kwenye hii game ya Leo?

Ngoja niwaambie tu, kama alivyosema Inzi hapo juu mara nyingi kwenye big games zenye pressure kubwa huwa mnashinda by default, yaani mpaka pale most important players wa timu pinzani wanapokuwa either kwenye kiwango kibovu au hawapo kabisa. Unakumbuka finals ya 2015 ilikuwa ni baada ya kyrie na Kevin love kuumia ndio mkacontrol games hadi mwisho.

Sasa hata na Leo napo ni hivyo hivyo nadhani mmeona Kawh Leonard alivyokuwa amecontrol games kwa dakika zote kabla hamjamuumiza, si ajabu sasa hivi ingekuwa mlishapigwa kwenu tayari.

Ila kwa performance hii mjitafakari sana...
 
Haha! at last!.
Ahahaaaaah...
Hatari sana mkuu...
Kuna kauli ya kwenye mpira wa miguu inasema "MPIRA DAKIKA 90"
Naona kwenye BBall ni sahihi pia tukisema basketball ni "FOUR QUARTERS "
Nilikua na imani na Steph Curry,na kwakweli hajaniangusha...
Pia nashukuru kwa injury ya Kahwi,maana yule ni jini aliyekuwa anataka kuniharibia usiku wangu..!
[HASHTAG]#TuendeleeKuwepo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#4QuartersNeverLie[/HASHTAG]
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
 
Sawa buradha...
Ila rekebisha hapo unaposema TUMEMUUMIZA Kahwi...
Kahwi amejiumiza mwenyewe baada ya kuruka na kutua vibaya..!
 

I don't deny the feasible facts the series is soo tough and whatever can happen at any ground, but taking my view from today's game, it's plausible SAS seems to outweigh GSW in somewhat... They are highly determined and adamant halafu unasema eti SPURS kakamia inakuwaje hapo wakati spurs katoka kucheza juzi tu hapa ila nyie ndio mmekaa zaidi ya siku nne zote mkijiandaa!?

Halafu hivi Klay nini kimempata Leo?
 
Kwanini wacheze chini ya kiwango wakati walipata muda wa kutosha kujiandaa?
 
Mkuu unajua ifike sehemu tukubali matokeo kama yanavyotokea mwisho wa siku. Mbona mimi kiroho safi tu nakubaligi tukishindwa bila kusema "ooh sijui nani alaumiwe, ooh mmebahatisha". Yaani hata ikiwa ni ushindi wa pointi moja, asee mshindi mi ntampongeza tu. Ndo ushindani wenyewe mkuu. Mwisho wa siku GSW wameshinda, haitaandikwa Game 1: GSW Won due to xxx reasons (leave that to the media), itaandikwa Game 1: GSW Won, Game 2: Spurs vs GSW Oracle (something like that). Mi hata Spurs mngeshinda kwa point au OT, I'd still honor yo victory. Stop whining, son (no offense meant!) and swallow the L (if yo a spurs fan) like a true sportsman, and the series go on!.
 
We had some rust and thanks for Kawhi and the Spurs for blowing up 25 points.. Game 2 is a must win and we will try to steal one at AT&T.. I call it Warriors in 5
 
Kwanini wacheze chini ya kiwango wakati walipata muda wa kutosha kujiandaa?
Mkuu huo sasa ni ubishi wa kitoto.. Last season Cavs waliwasweep Hawks na kuwasubiri Warriors walioenda mpaka Game 7 na OKC lakini Cavs started the four games down 3-1 before Warriors blew it or whatever they may say..
 
teh teh teh teh teh jamaa anaanza excuse games..
 
Mkuu huo sasa ni ubishi wa kitoto.. Last season Cavs waliwasweep Hawks na kuwasubiri Warriors walioenda mpaka Game 7 na OKC lakini Cavs started the four games down 3-1 before Warriors blew it or whatever they may say..
Hiyo uliyosema hata sio justification ya nyie ku underperform kwenye mechi ya Leo, kumbuka last year's warriors was untouchable and bit stronger than this kulinganisha na CAVS ilivyokuwa na ndio maana iliwachukua four games kuwasoma GSW kabla hawajafanya comeback. Sasa nyie hawa SAS watu walitegemea hawatawasumbua hivi kwenye game 1 tena mkiwa kwenu na mapunziko ya kutosha na nyie ndio mmemaliza mkiwa juu yao.

Anyway ngoja Tusubiri labda mtakuja kivingine
 
Kwanini wacheze chini ya kiwango wakati walipata muda wa kutosha kujiandaa?
Mmmh Broh...
Hili swali lako..!
Najua wewe ni shabiki mkubwa wa LeBron James...
Hivi LeBron hajawahi kucheza hata game moja chini ya kiwango tangu uanze kufuatilia huu mchezo..!?
Au unataka niseme "WHEN IT COMES TO NBA PLAYOFFS,THEY ARE CHOKERS"?
 
Mkuu unavyoongea ni kama vile Spurs ni timu ya kawaida sana. Ila kama Houston wameweza kuwafunga mara mbili na Memphis waliweza kuwafunga mara mbili basi usiwe na wasiwasi kwa Warriors kuwafunga zaidi ya hizo mara mbili. Leo tu defense na offense yetu zilikuwa likizo, sio zile za siku zote. Na spurs walichukua hiyo advantage na nadhani unawajua Warriors wanavyoweza kulikabili hilo haraka. Ni kama ulivyoona 3rd Q wamechukua advantage ya Klaw na kufuta uongozi wa 20+ points, sio rahisi hiyo..

Alafu kitu kingine ni kwamba, ukishakuwa kwenye situation kama hii itakufanya kwenye game zingine u'focus na uache mzaha mzaha. That's why I call a must win kwa game 2 na watajaribu kuiba game moja kule ugenini.
 
We had some rust and thanks for Kawhi and the Spurs for blowing up 25 points.. Game 2 is a must win and we will try to steal one at AT&T.. I call it Warriors in 5
Hivi hizo 25 points zinazoongelewa ni zipi? At HT ilikuwa 62-42, na end of 3rd quarter ikawa 90-81. Maana naona hadi Twitter kila mtu anaongelea 25 points. Enlighten me bruh!
 
Mmmh Broh...
Hili swali lako..!
Najua wewe ni shabiki mkubwa wa LeBron James...
Hivi LeBron hajawahi kucheza hata game moja chini ya kiwango tangu uanze kufuatilia huu mchezo..!?
Au unataka niseme "WHEN IT COMES TO NBA PLAYOFFS,THEY ARE CHOKERS"?

Lebron hata yeye huwa ana siku zake anacheza chini ya kiwango na hii sababu kuu hasa ni kwamba anatumika sana kuliko wachezaji wengine, hivyo basi tiredness lazima iwepo ambayo inaambata na perfomance kushuka.

Lakini pamoja na hivyo huwezi kumuona akileta mzaha mzaha kwenye stages kama hizi, unless timu nzima iwe imeshikwa.

Of course we are expecting to see the choking as always since you all are collection of chokers!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…