Binafsi naamini kwamba Wizards wangeleta ushindani dhidi ya CAVS, lakini pia siamini hata kidogo kwamba eti CAVS walishika nafasi ya pili kwa makusudi hili kukwepa mlima mapema.
Mkuu Lizarazu unakumbuka nilivyokuambia "at least uwe na akiba ya maneno" ?!. Leo GSW walichokifanya (though they didn't play impressively) Vs. kile ulichosema dhidi yao in the lines of "GSW hawataweza toka na ushindi AT&T" (Correct me if I'm wrong). Ninachoamini ni kuwa, Popp's reliance on some single individual to be the anchor of the team's victory is somehow flawed (I stand to be corrected). Kama kauli yake ya kumtaka Aldridge a'step up big time, forgetting that, there are some other (key or not) players who should all together as a team step up their game.
Either way, may the best team win.
Hahaha mlalamikaji mwingine tu huyo!. Sasa wao walioko nje ndo wanasema wao ndo kiboko ya Cavs, wakati Cs tu wameenda nayo mpaka G7!. Kitu mi nataka kuona ni hawa "Wafagizi" wa coast zote mbili wakutane wakiwa na perfect playoff record, yaani 4-4-4 af ndo tuone nani atamfagia mwingine (Kama tu ufagizi wao utaendelea mpaka mwisho). Na hapa ndio naanza elewa vilio vya baadhi ya wapenzi wa NBA kuwa league imekuja kuwa ya Timu mbili tu.Ha ha ha, sasa wao walishindwa nini kumtoa Celtic ili waje waoneshe huo ushindani?
Yap mkuu nakumbuka vizuri tu, lakini maneno hayo nilisema kabla hata ya upepo haujabadilika siku ile ile ya game 1. Pamoja na hivyo my words were invalid if only spurs would have not got some injuries which left them hopeless against full healthy GSW.
I agree popovic and his whole staff management should take the blames, this is what you get when you make your team to be one man team.
Hahaha mlalamikaji mwingine tu huyo!. Sasa wao walioko nje ndo wanasema wao ndo kiboko ya Cavs, wakati Cs tu wameenda nayo mpaka G7!. Kitu mi nataka kuona ni hawa "Wafagizi" wa coast zote mbili wakutane wakiwa na perfect playoff record, yaani 4-4-4 af ndo tuone nani atamfagia mwingine (Kama tu ufagizi wao utaendelea mpaka mwisho). Na hapa ndio naanza elewa vilio vya baadhi ya wapenzi wa NBA kuwa league imekuja kuwa ya Timu mbili tu.
Hahaha, na hapa nimetoka ongea na Lord Voldemort na Harry Porter (Niliwapatanisha) wafanye juu chini Bron achanike ACL, KI aumie kiganja, na KL avunjike mgongo. Yaani ile tunaanza gemu Wan tu, fans wa Cavs mnalia "They already deeead, pleease stooop killing them mooore!!!". [HASHTAG]#jokingmazee[/HASHTAG].Malalamiko ya jamaa yamenikumbusha yale ya Doc Rivers, kwamba GSW were lucky not to go through LAC.
Ila nyie jamaa nahisi mnaroga timu pinzani ziwe na majeruhi, maana nikikumbuka mwaka juzi jinsi KL na KI walivyoumia, sasa hivi TP na Kawhi chalii, yaani hapa naombea tu yeyote asipate majeruhi kwetu tuwafanyie kitu mbaya sana.
Hahaha, na hapa nimetoka ongea na Lord Voldemort na Harry Porter (Niliwapatanisha) wafanye juu chini Bron achanike ACL, KI aumie kiganja, na KL avunjike mgongo. Yaani ile tunaanza gemu Wan tu, fans wa Cavs mnalia "They already deeead, pleease stooop killing them mooore!!!". [HASHTAG]#jokingmazee[/HASHTAG].
Hahaha we kwani wao ni nani wasiwe na kamati mzee!. Yaani wao mpaka wana occults group za ajabu ajabu na secret societies wao ndo wabaya man!. Hahaha so unataka kusema uchawi wa Babu sa hivi hauna nguvu, au hakumchanjia Klaw fresh?!Hivi unadhani wazungu hawana hizo kitu?
Hiyo science ni world wide mkuu, lazima kamati za ufundi zifanye kazi kwa ufanisi sana, tena bab Pop ndo simwamini kabisa yule.
Next season tu hilo laweza kutokea!na hii itafika mwisho pia pale Curry, KD, Klay na Green watahitaji Max Contracts.
Asee mi ni big fan wa GSW lakini ubabe na ujasiri kina Bron wanaouonesha huko East kwenye playoff asee ni mkubwa sana. Na pia ni madharau, sio kwamba Cavs walishindwa kuchukua top seed, hapana, ila (nnavyoona) waliona haikuwa na maana sana kama wana uwezo wa kuwachapa hizo team zote kama wadogo zao. Sa hivi wanawapiga Cs ka vile Cs walikuwa 4th Seed bhana. Hata kama misimu ijayo hali ikiwa ni GSW Vs. CAVS acha tu iwe, sa kama no one wants to "seriously" step their games up, wafanyaje?!
Binafsi naamini kwamba Wizards wangeleta ushindani dhidi ya CAVS, lakini pia siamini hata kidogo kwamba eti CAVS walishika nafasi ya pili kwa makusudi hili kukwepa mlima mapema.
Mkuu unaamini kwenye mambo ya ulozi[emoji15]Malalamiko ya jamaa yamenikumbusha yale ya Doc Rivers, kwamba GSW were lucky not to go through LAC.
Ila nyie jamaa nahisi mnaroga timu pinzani ziwe na majeruhi, maana nikikumbuka mwaka juzi jinsi KL na KI walivyoumia, sasa hivi TP na Kawhi chalii, yaani hapa naombea tu yeyote asipate majeruhi kwetu tuwafanyie kitu mbaya sana.
Mkuu unaamini kwenye mambo ya ulozi[emoji15]
Hahaha we kwani wao ni nani wasiwe na kamati mzee!. Yaani wao mpaka wana occults group za ajabu ajabu na secret societies wao ndo wabaya man!. Hahaha so unataka kusema uchawi wa Babu sa hivi hauna nguvu, au hakumchanjia Klaw fresh?!
Asee mi ni big fan wa GSW lakini ubabe na ujasiri kina Bron wanaouonesha huko East kwenye playoff asee ni mkubwa sana. Na pia ni madharau, sio kwamba Cavs walishindwa kuchukua top seed, hapana, ila (nnavyoona) waliona haikuwa na maana sana kama wana uwezo wa kuwachapa hizo team zote kama wadogo zao. Sa hivi wanawapiga Cs ka vile Cs walikuwa 4th Seed bhana. Hata kama misimu ijayo hali ikiwa ni GSW Vs. CAVS acha tu iwe, sa kama no one wants to "seriously" step their games up, wafanyaje?!
Hakuna timu kwenye basketball inayoweza kuchukua ubingwa bila Star player, huwezi kumlaumu Pop kwa injury ya Kawhi, ni sawa na leo LBJ aumie halafu uanze kumlaumu kocha kwa kutokuwa na backup plan.
Tuliona jinsi GSW walivyombwela mwaka jana baada ya Green kuwa suspended, ni GSW pekee wenye timu 2 ndani ya moja, yaani KD and Curry (kila mmoja ni franchise player na anaweza kuunda timu yake), na hii itafika mwisho pia pale Curry, KD, Klay na Green watahitaji Max Contracts.
, imagine angekuwepo mtu mwingine mwenye calibre ya Kawh na Tony.