NBA 2016/2017 Season Special Thread

Anayetuangusha ni Klay Thompson tu..!
Hatuangushi sana.. he play a good D so hakuna shida.. Na pia ana create open looks to KD. Cavs wamekuja na strategy nzuri ya kumbana sana Klay asirudi kwenye his rhythm wamesahau sasa timu ina 3 deadly shooters..

When he is back to himself this series will end sooner than expected..
 
Bron alionekana analia lia alivyokuwa analilia a playmaker.. Kyrie isn't good playmaker na hiyo inamfanya Bron afanye majukumu mengi mwenyewe.. You can't beat warriors on iso's
Ha ha! Leo uwanja wako, sina la kusema...GSW has taken game 1...tusubiri J2.
 

Lini sasa!? Maanake tangu kwenye WCF kiwango chake ni kile kile tu yaani kachoka japo bado anajitutumua kwenye defense... General performance ya timu inafunika hilo!

Hongereni kwa ushindi.
 
So, you believe in GSW sweep, don't you?
Hapana sijasema hivyo...ili kutwaa ubingwa ni lazima timu ishinde game nne na ziko njia nyingi za kufikisha game nne. Leo tumeshinda moja bado tatu kufikisha nne (QED) CAVs on the other hand hata hiyo moja hawana kwa hiyo tunaweza kusema Zero in the bag...four to go! πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚!
 
Kweli hizi TOs inabidi zithibitiwe...
Daaah.... Imenisikitisha sana kuona less concentration kwenye quarter ya 2 na 3 utafikiri labda CAVS ndio walikuwa wanaongoza.

Lue nae amekuwa na misplacement ya majukumu nimeshangaa kuona Irving ndio anamkaba sana KD wakati kwanza yeye mfupi. Nadhani hii game itakuwa ni fundisho la kwanza na la mwisho kwa game zote zinazofuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…