Does this change anything? Kwa hiyo kwenye Western Conference playoffs Spurs na Clippers hawakushiriki?
Chuki yako kwa Steph Curry imekupofusha kiasi usione performance ya Warriors kwenye playoffs mwaka jana dhidi ya timu ngumu za West kama Spurs, Rockets, Clippers, na Thunder hadi kutetea ubingwa kwenye Western Conference.
Sawa nakubali, hata hivyo na mimi naomba nikusaidie kidogo...Just wanted to put records clear. Sentensi yako hii inamaanisha GSWs went head to head against those teams! Kama nimekuelewa vibaya nisahihishe mkuu.
Sawa nakubali, hata hivyo na mimi naomba nikusaidie kidogo...
Spurs...1-3
- Apr 10, 2016 San Antonio Spurs vs. Golden State Warriors L 86 - 92
- April 7, 2016 San Antonio Spurs vs. Golden State Warriors L 101 - 112
- Mar 19, 2016 San Antonio Spurs vs. Golden State Warriors W 87 - 79
- Jan 25, 2016 San Antonio Spurs vs. Golden State Warriors L 90 - 120
Clippers...0-4
Rudi darasani usome historia ya NBA halafu uniambie ni sababu zipi zilikuwa zinafanya timu fulani fulani zipewe nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa kama si performance zao kwenye regular seasons. Ukipata muda msikilize Kocha wa Warriors Steven Kerr ambaye aliwahi kuichezea Chicago Bulls ya akina Maichael Jordan na Scottie Pippen akielezea kushindwa kwa Warriors kutwaa ubingwa mwaka jana.
Chuki yako kwa Steph Curry imekupofusha kiasi usione performance ya Warriors kwenye playoffs mwaka jana dhidi ya timu ngumu za West kama Spurs, Rockets, Clippers, na Thunder hadi kutetea ubingwa kwenye Western Conference. Unaongea kama vile the only team in the NBA ni Cleveland Cavaliers ya LeBron James na kwamba timu zingine zote si lolote si chochote si East wala West, duh!
Two straight finals ame-perform vibaya. Sasa mwaka huu kaongezwa na choker mwingine, patamu hapo. I can't wait for playoffs.? Simchukii Curry, nashangazwa tu na jinsi watu jinsi wanavyo freak out akifanya vitu wakati wa regular season huku tumeshamuona huyo Curry wakati wa playoffs huwa anapotea.
Kevin Love alipata injury, ikabidi RJ acheze kwa muda mrefu...Hivi kibabu Jefferson sikuhizi ni starter wa Cleveland?? teh teh teh teh
Naona Stat padder amepigana mpaka kaondoka na Triple Double yake... Yeye hajali timu kufungwa anatafuta cha kuongelewa tu..Kevin Love alipata injury, ikabidi RJ acheze kwa muda mrefu...
Players and the media ndiyo wamemweka juu ya Curry. Fans ambao wengi hata basketball hawajawahi kucheza ndiyo wakampa Curry nafasi ya kuanza.Alafu mko hapa kutaka amweke nje Curry kwenye All Star Starters teh teh teh
Players na Media hawakosei.. Mbona media hizo hizo zilivyomchagua Curry kuwa MVP 2015 badala ya Mandevu mlichonga sana?? Ebu niwekee hapa FG % ya Russ na efficiency yake uilinganishe na ya Steph..Players and the media ndiyo wamemweka juu ya Curry. Fans ambao wengi hata basketball hawajawahi kucheza ndiyo wakampa Curry nafasi ya kuanza.
Naona Melo leo anapiga clutch tuHawks vs. Knicks game is insane....
Players wanawafahamu Curry na RW vizuri kuliko sisi sote. Who am I and who are you kupingana nao?Players na Media hawakosei.. Mbona media hizo hizo zilivyomchagua Curry kuwa MVP 2015 badala ya Mandevu mlichonga sana?? Ebu niwekee hapa FG % ya Russ na efficiency yake uilinganishe na ya Steph..
Kwa leo tu 7/26 and he was -19 on +/-... Mchezaji anayecheza apalilie stats zake bila kujali ushindi wa timu nae ni wa maana. Ndio maana hata aliyecheza nae misimu kibao alisema "Afadhali ameondoka kule kwa selfish guy"
Usimfananishe Steph na Mambo ya KIJINGA..!!!Players wanawafahamu Curry na RW vizuri kuliko sisi sote. Who am I and who are you kupingana nao?
Aisee! Leo hadi unatumia +/- katika kumtetea Curry? Uliziponda nilivyozitumia kuonyesha Green ni wa muhimu kuliko Curry kwenye timu.
Kwanini selfish? Sasa kama yeye ndiye star player unataka afanyaje? He is leading in points scored, rebounds na assists; yet, unamwita selfish!!!
Aisee tena, yaani leo unatumia kigezo cha efficiency kumtetea Curry. Unakumbuka nilitumia kigezo hicho kusema Curry siyo efficient at shooting treys? Kwa sababu ana 3 point attempts nyingi mno ambazo anakosa.
Kweli mahaba niue. Yaani umeshasahau hivyo vigezo ulivikataa, leo unavitumia?!?? [HASHTAG]#maajabu[/HASHTAG]
Najua Hisabati ni ugonjwa wa taifa, Curry averaged 45.4% kwenye 3 pointers msimu uliopita... Yaani karibia nusu ya attempts zake amekuwa akipata alafu wewe unasema anakosa..Players wanawafahamu Curry na RW vizuri kuliko sisi sote. Who am I and who are you kupingana nao?
Aisee! Leo hadi unatumia +/- katika kumtetea Curry? Uliziponda nilivyozitumia kuonyesha Green ni wa muhimu kuliko Curry kwenye timu.
Kwanini selfish? Sasa kama yeye ndiye star player unataka afanyaje? He is leading in points scored, rebounds na assists; yet, unamwita selfish!!!
Aisee tena, yaani leo unatumia kigezo cha efficiency kumtetea Curry. Unakumbuka nilitumia kigezo hicho kusema Curry siyo efficient at shooting treys? Kwa sababu ana 3 point attempts nyingi mno ambazo anakosa.
Kweli mahaba niue. Yaani umeshasahau hivyo vigezo ulivikataa, leo unavitumia?!?? [HASHTAG]#maajabu[/HASHTAG]
The NBA announced that Curry is the NBA Most Valuable Player award winner for the 2015-16, for the second consecutive year. While winning the NBA award, once again, is a monumental feat in its own right, Curry also became the first unanimous winner in the 61-years that the NBA has handed out the award.Hapo kwenye blue, hao hao Players walimpigia kura Curry ya hardest player to guard kwa misimu miwili mfululizo mpaka msimu ulioisha na hizo hizo media ndizo zimempa Unanimous MVP (First Ever), who are u to judge???
Usimfananishe Steph na Mambo ya KIJINGA..!!!
[HASHTAG]#StephGonnaSteph[/HASHTAG]
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Hivi unajua Tristan Thompson +/- amemzidi Lebron James? Lakini kwani Tristan ni mchezaji muhimu sana kwenye timu kumzidi Lebron??