Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
- Thread starter
-
- #21
Yani ulushindwa kuona kuwa Giannis anaenda kuchukua! Are basketballer ? Shaq,Jordan,Lebron nk wote walimsoma dogo kwenye game5 kuwa ni noma.Ungesubiri angalau achukue ubingwa ndio uandike.
Mambo tayari, mkeka ushachanika wasenge wanaroho ya paka, walipi catch 70- 70 niliamua kulala nikajua hapo tayari phonex hatarudi nyuma, bucks walistack kwenye point 77 zaidi ya dk 5. Inaoneshaa bucks mzigo wote walimtupia Giannis kama sisi tunavyomtupiaga Samata, ingeweza kuwa cost.
Mungu yupo upande wa Giannis hata hivyo.
RACISM! USA inadumisha watu wake dhidi ya mataifa mengine. Giannis anatoka ulaya, hawataki Ulaya idominate media za USA wakati ulaya huwa wanabalance story mfano premier league wachezaji hupewa nafasi wanayostahili ndio maana leo akina sedio mane wame excel.Hahahaha yani kama mimi hii mechi nimezima tv mara kibao nakwenda kulala narudi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] sasa ndo nataka niiangalie replay bila stress[emoji16]. Giannis sasa amepata respect anayostahili hawa media pundits wamembania sana Gianis, aibu yao! Now they will respect him watake wasitake.
Mkuu amegonga 50, naomba statistics kama unazoBlocked by antekounmpo......... jamaa wakampime mkojo mechi ya leo 50pts.
Kuna watu wanatabiri anaweza kuja kuingia top 5 of GOAT kama atakaza uzi na asipate injury.Huyo Giannis kweli ni wa moto, toka msimu uliopita anavunja rekodi tu mpaka msimu huu bado anawakimbiza, mgiriki ana kipaji haswa.
Amesha kuprove wrong [emoji1]Huwezi tu ukaangalia one final series (*tena ambayo bado haijaisha) ukaconclude "Giannis anakwenda kumpumzisha gwiji LeBron". Mind you, LeBron ametolewa kwa sababu ya injuries if AD was healthy chances are angekuwa kwenye finals right now. Pili kama kweli unafatilia kikapu utakubaliana na mimi kwamba endapo Kyrie Irvin asingeumia Bucks wasingefika finals. LeBron is one of The Greatest Of All Time (GOATs) kwenye kikapu, sure his dominance kwenye mechi imepungua with age, the guy is 36 now but he still is the face of the NBA at least mpaka astaafu rasmi.
Kuna great players kama KD ambaye in my opinion he has what it takes kurithi mikoba from LBJ. Nakubaliana na wewe kwamba Giannis anayo nafasi, ila he needs to prove himself first. Washinde hii series, apate FMVP yake na Ring, then ashinde finals nyingine na nyingine. Aonyeshe uwezo wa ku carry his team against opponents who are at their full capacity etc. etc.
Stephen A[emoji1]Hahahaha yani kama mimi hii mechi nimezima tv mara kibao nakwenda kulala narudi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] sasa ndo nataka niiangalie replay bila stress[emoji16]. Giannis sasa amepata respect anayostahili hawa media pundits wamembania sana Gianis, aibu yao! Now they will respect him watake wasitake.
Doncic Ni talented baller sema Yuko na wachimbachumviIla jamani Doncic anabalaa yule dogo. Akipata roster nzuri atafika mbali sana.
Anahitaji championship moja tu kuingia kule [emoji1]Gianni's kashinda tuzo karibia zote za NBA isipokuwa moja Ile ROY zingine zote kubwa kazikomba .
Na ring juu
Nawasiwaasi na huyu jamaa kama anajua kikapu. Yani alimtilua mashaka up rising star.Amesha kuprove wrong [emoji1]
Umeelewa nilichokisema? Tell me, Ameniprove wrong kivipi haswaAmesha kuprove wrong [emoji1]
To hell with your damn mind.Umeelewa nilichokisema? Tell me, Ameniprove wrong kulivipi
Soma hapo juu [emoji1483]Gianni's kashinda tuzo karibia zote za NBA isipokuwa moja Ile ROY zingine zote kubwa kazikomba .
Na ring juu
Tupi bush kabisa mkuu ola streming inatusaidia.Naona Huu Uzi umejaa wabeba box