Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 637
- 1,532
- Thread starter
-
- #121
Sure kabisa.alafu wana advantage ya mwili, pia wote wako defensive...Milwaukee Bucks ni timu underrated sana sasa natabiri privided hawa watu watakua healthy wanatetea ubingwa
Giannis Antetokounmpo
Khris Middleton
Jrue Holiday
Brook Lopez
Hawa Jamaa wana chemistry ya hatari
Mbona niliwaona game Yao moja ya pre season( though sio Sawa kuwajudge Kwa game 1) nawaona wachovu Tu....na pia sakata la Kyrie Irving khs covid itawafelisha at some pointMsimu huu Nets wana nafasi kubwa ya kubeba
Majeruhi tu labda ndo yawafelishe..
Vp ww unawapa karata ya ubingwa nani?Mbona niliwaona game Yao moja ya pre season( though sio Sawa kuwajudge Kwa game 1) nawaona wachovu Tu....na pia sakata la Kyrie Irving khs covid itawafelisha at some point
Kwa upande wangu naona lakersVp ww unawapa karata ya ubingwa nani?
Kama Jordan Poole ana moto sasa hivi..anagonga 3s kama hana akili.I believe in strengh in numbers
Pretenders wengi sana nowadays
Five straight finals sio easy jamani
Watoto wa Bay area wata bounce back
They are thirsty for the ring
Klay wanna make it really ,he missed balling
Curry have to add another ring to cement his legendary and future hall of fame candidacy.
The bench full of young players they wanna get a taste of being in a real championship team
Majeruhi yatupitie mbali
Na hapo bado thompson hayupoWhat a match today.
Lakers kafa, huku LeBron James akiweka vikapu 34. GSW wakiongozwa na Curry inawezekana wako serious msimu huuView attachment 1980408View attachment 1980409
Msimu huu kuna jambo wanaweza kufanyaNa hapo bado thompson hayupo
Kuna gem ninaona wanacheza kila quarter dk 10 hii ikoje au ni kanuni tu wanaamua kuweka wao wenyewe?Mchezo wa Basketball unachezwa ndani ya vipnd 4...vnaenda kwa majna ya quarter na kila quarter ina dakika 12
Basketball inachezwa na wachezaji wa 5 kwa kila upande.
Inaruhusiwa kubadil wachezaji wote wa 5 .
Kocha anaruhusiwa kuomba mchezo usimame ili aongee na wachezaji wake (tunaita Time Out)
Hao Ni FIBA...fifa ya basketballKuna gem ninaona wanacheza kila quarter dk 10 hii ikoje au ni kanuni tu wanaamua kuweka wao wenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes... na hata kwenye world Championships or Olympic Games hao NBA Players wamo bado ni 10 mnts per quarterHao Ni FIBA...fifa ya basketball
Sio kwamba Ni dk 10 kila quarter moja not 12 according to FIBA RULES??Hao Ni FIBA...fifa ya basketball
Nba ndio walio introduce basketball duniani..na walianza na 12min per quarte... lakin fiba walivyokuja wakabadilisha hizo rules ..sio tu 12min..hata ile rule ya kumlimit big man kukaa ndani ya D kwa muda mrefu...
Halafu NBA naona kuna vitu tunapishana nao ikiwemo hizo dakika na pia naonaga mchezaj akipokea pasi km anapiga hatua ambazo huku kwetu ukifanya inakuwa umetembea (walking) hata rims zao naona kama ni fupiNba ndio walio introduce basketball duniani..na walianza na 12min per quarte... lakin fiba walivyokuja wakabadilisha hizo rules ..sio tu 12min..hata ile rule ya kumlimit big man kukaa ndani ya D kwa muda mrefu...
Mchezaji akifanyiwa kosa(foul) wakati anajaribu kufunga(in the act of shooting) atapewa mitupo huru(Free throws) mi3/mi2 kulingana na eneo alilokuwa wakati akijaribu kufunga.Ni nyingi ila tutaanza zile basic...
-hauwezi kukimbia au kutembea na ball bila ya kuudunda. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani mpira)
-tofauti na football, mpira wa basket utajulikana uko nje endapo tu utagusa chini nje ya mstari ..ila ukivuka mstari wa nje lakini upo juu hauwesabiki uko nje.
-ukishavuka mstari wa kakati wakati ukiwa na ball..haupaswi kurudi nyuma ya mstari wa kakati ukiwa na mpira. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani)
-ukiugusa mpira na mguu wakati unakaba basi ni kama hesabika kama handball kwenye football.
-Endapo utacheza rough( kugonga ubavu, kugonga mikono) pale mpinzani anaenda kufunga basket..basi itaitwa foul... then mpinzani aliefanyia rough atarusha mitupio miwili. Ila kama ulimfanyia rough na akajitahidi akafunga ..then mpinzani atapanta na foul ila atarusha mtupio mmoja.
Etc......
Atapewa mtupo huru m1 kama pamoja na kufanyiwa kosa bado alifanikiwa kupata goli.Ni nyingi ila tutaanza zile basic...
-hauwezi kukimbia au kutembea na ball bila ya kuudunda. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani mpira)
-tofauti na football, mpira wa basket utajulikana uko nje endapo tu utagusa chini nje ya mstari ..ila ukivuka mstari wa nje lakini upo juu hauwesabiki uko nje.
-ukishavuka mstari wa kakati wakati ukiwa na ball..haupaswi kurudi nyuma ya mstari wa kakati ukiwa na mpira. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani)
-ukiugusa mpira na mguu wakati unakaba basi ni kama hesabika kama handball kwenye football.
-Endapo utacheza rough( kugonga ubavu, kugonga mikono) pale mpinzani anaenda kufunga basket..basi itaitwa foul... then mpinzani aliefanyia rough atarusha mitupio miwili. Ila kama ulimfanyia rough na akajitahidi akafunga ..then mpinzani atapanta na foul ila atarusha mtupio mmoja.
Etc......