Huyu sub. wa Nash kiwango bado sana.
Mvua inaanza kunyeshea Suns lol
Abuu, sijui labda miracle do happen..Lakini gemu ndio ishakuwa ya upande mmoja.Range ya point 16...Damn!
Nakubali mtani wangu...lead imekatwa mpaka 8 pts.Kwa hivyo tusubiri.Abuu, sijui labda miracle do happen..Lakini gemu ndio ishakuwa ya upande mmoja.
Nakubali mtani wangu...lead imekatwa mpaka 8 pts.Kwa hivyo tusubiri.