Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
- Thread starter
-
- #721
Mkuu ulienda kwa mganga akakuambia kwamba gap litafika point 20?
Sijui wataweza kuzirudisha zote? Maana shooting machine zao leo zina matatizo.
20 pts game..Wenger amekuwa bubu..
He he sio Orlando hawa mkuu..Celtics wakituliza akili wanaweza kurudi.
stupid turn overs.
stupid turn overs.
Celtics inabidi wa fight game 2 kama wako serious.
see u next game abdulhalim
Celtics inabidi wa fight game 2 kama wako serious.
see u next game abdulhalim
Hivi mbebabox yuko wapi, naona hataki kuingia anaogopa betting..he he he..
duh jana umeme ulikatika nikashindwa kuona game!!!!im not surprised na result na game kwa jumla,kumbuka C's walikuwa blownout na CAVS na ORLANDO game 1-1 so i hope watajipanga,they need to steal at least 1 game which i believe they're capable to do.