...........Uwiiiiiiiiiiiiiiiiii!! Game limenoga tofauti ya points 4 tu hadi sasa............... hii ni mbombo ngafu!
Hata kuchoka kuchoka gani? Kutoa pasi mkaa inahitaji uwe umechoka kiasi gani jameni?hawa wachezaji wamechoka sana, LA wamechoka zaidi, utadhani wamepuliziwa gase ile ya FFU
LAL wanashindwa ku-notice kwamba muda ndio waenda hivo.
huyu jamaa ni muhimu sana ktk game muhimu kama hii.that's big shot by Fisher!