shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
Braza naona unahamisha magoli tu...ulianza na Pistons, wakapewa haki yao. Ukasema Hawks, sasa umeshakubali matokeo hata kabla ya series kuisha. Unafanya tena u-sheikh Yahya kwa kusema Cavs hawatapa mteremko Finals! Utahamisha magoli mpaka utamaliza uwanja.Ila yote ya yote mtakayekutana naye yoyote kwenye Finals hamtapata mteremko kama huo wa Hawks..
Mkuu naomba uniqoute niliposema Hawks watawapa shida Cavs...Braza naona unahamisha magoli tu...ulianza na Pistons, wakapewa haki yao. Ukasema Hawks, sasa umeshakubali matokeo hata kabla ya series kuisha. Unafanya tena u-sheikh Yahya kwa kusema Cavs hawatapa mteremko Finals! Utahamisha magoli mpaka utamaliza uwanja.
teh teh teh teh teh Iggy alimfanya nini huyo Lebron mzee??hakuna defender yeyote anaeweza mzuia le bron james akiamua kucheza... shida ya cavaliers wachezaji waliobaki hawana consistency.. na wana injury nyingi.. mfano mwaka jana tu irving, love, wangekuwa wazima warriors wasingepata ubingwa..
kama le bron na bench players tu walipeleja series game 6. na hapo le bron anapiga ma 40 points kwenye game za away....
cavaliers hata wasipopata ubingwa hakuna sabab ya kumponda le bron.. anawabeba sana na sana..
cavs wanachukua east tena this year... raptors hata heat hawawezi mzuia le bron
shaurimbaya majibu tafadhari...teh teh teh teh teh Iggy alimfanya nini huyo Lebron mzee??
Alafu mnasingizia majeruhi only on finals ila mbona mlipowasweep Hawks hamkusema mna majeruhi??
U were once 2-1 going to game 4 at your court... Kutoka hapo Warriors wakawasoma mkapokea kichapo cha game 3 straight mbili zikiwa hapo hapo mbele ya mashabiki wenu..
Isitoshe Christmas mkaja kwa hasira ya kuonyesha dunia kwamba majeruhi ndiyo yaliwapa Warriors ubingwa ila mkaambulia kichapo pale Oracle wakati huo Barnes na Bogut wakiwa nje hawachezi... Mkasema Kyrie hakuwa fit tusubiri rematch hapo kwenu.. Rematch mkapigwa kwa 30 hapo hapo kwenu Kyrie, Bron na Love wakiwa wazima kabisa wakati Warriors walikuwa na majeruhi ya Iggy.. Bron anaweza asizuilike kama unavyosema lakini one man can't win a series..
On finals Delly alifanya kazi ambayo Kyrie hataweza kuifanya kama tutakutana kwenye series hizi.. Na ndio maana hata game ya Oracle ambayo Delly alicheza zaidi mlipigwa kwa point 6 tu lakini ile ambayo mlitaka Kyrie acheze sana mkaambulia kupigwa kwa 30..
teh teh teh teh teh hawezi kuonekana hapa Mzee... Amesahau ya last season walianza hivi kwenye series ila walichokutana nacho hawakielewi mpaka leo..shaurimbaya majibu tafadhari...
Umekuwa mzee wa historia kama Mag3 ya msimu uliopita yashapita...sasa tunaongelea ya msimu hii. Umesahau msimu uliopita GSW hawakuvunja rekodi ya Chicago Bulls? Sasa ukishikilia historia sijui itakuwaje!teh teh teh teh teh hawezi kuonekana hapa Mzee... Amesahau ya last season walianza hivi kwenye series ila walichokutana nacho hawakielewi mpaka leo..
Hata hiyo record ya Chicago ni historia mkuu.. Sasa kama isingekuwa ni historia sijui tungeivunjaje..Umekuwa mzee wa historia kama Mag3 ya msimu uliopita yashapita...sasa tunaongelea ya msimu hii. Umesahau msimu uliopita GSW hawakuvunja rekodi ya Chicago Bulls? Sasa ukishikilia historia sijui itakuwaje!
Ha ha ha! Sawa bana...ngoja tuone...Hata hiyo record ya Chicago ni historia mkuu.. Sasa kama isingekuwa ni historia sijui tungeivunjaje..
Hata wewe ikiendesha gari yako kwenda kazini huwa unatumia side mirrors kinachojiri huko nyuma yako.. Sasa sijui kwanini unataka tubeze historia angali wewe na timu yako ya Manchester kwa sasa unaishi kwa historia tu..
teh teh teh teh futeni ukame maana hatukuzoea kumaliza season bila kikombe ila hii ya sasa imepita kama misimu mitatu patupu..Ha ha ha! Sawa bana...ngoja tuone...
NB: Man United tunamaliza msimu na kombe la FA.
hakuna defender yeyote anaeweza mzuia le bron james akiamua kucheza... shida ya cavaliers wachezaji waliobaki hawana consistency.. na wana injury nyingi.. mfano mwaka jana tu irving, love, wangekuwa wazima warriors wasingepata ubingwa..
kama le bron na bench players tu walipeleja series game 6. na hapo le bron anapiga ma 40 points kwenye game za away....
cavaliers hata wasipopata ubingwa hakuna sabab ya kumponda le bron.. anawabeba sana na sana..
cavs wanachukua east tena this year... raptors hata heat hawawezi mzuia le bron
teh teh teh teh Nyani kaingia mitini teh teh teh...shaurimbaya, je unakumbuka msimu uliopita bingwa wa EC alikuwa Nani? Je unakumbuka jinsi huyo bingwa alivyochapwa na CAVS kwenye playoffs 4-0? Je wakati huo Kyrie na Love walicheza?
Je unakumbuka majigambo ya LBJ baada ya hapo alipodai wako imara wakiisubiri GSW kwenye fainali? Je unakumbuka majigambo ya kocha wa CAVS baada ya kuifunga GSW Oracle?
Je unakumbuka majigambo ya LBJ baada ya kuifunga GSW Quicken Arena na kuongoza 2-1? Je unakumbuka matokeo ya mchezo uliofuatia baada ya hapo? Mbona tu wepesi wa kusahau?
Je unakumbuka ni timu gani imekumbwa sana na majeruhi msimu huu? Je unajua ni timu gani imeweza kuweka rekodi mpya katika historia ya NBA? Je unajua ni timu moja tu imeweza kuzifunga timu zote kubwa zilizoshiriki?
Baada ya maswali hayo nakuachia kama mwana spoti uamue mwenyewe. Usiachie ushabiki ukuzibe macho na masikio. Wapo waliofanya hivyo msimu uliopita na siku hizi wanaona aibu hata kuchangia uzi huu[emoji34][emoji34][emoji34]!!!
Duh Nzi, yamekuwa hayo tena! Huko Jukwaa la Siasa, kuna watu bado wanamuongelea Lowassa kwa mambo anayodaiwa kuyatenda miaka kumi iliyopita akiwa yuko CCM. Wanasahau kaiacha CCM kwenye mataa na sasa yuko mtaa wa pili, kaachana na genge la wezi. Lakini hayo tuyaache turudi kwenye NBA 2015-2016, sawa?Umekuwa mzee wa historia kama Mag3 ya msimu uliopita yashapita...sasa tunaongelea ya msimu hii. Umesahau msimu uliopita GSW hawakuvunja rekodi ya Chicago Bulls? Sasa ukishikilia historia sijui itakuwaje!
teh teh teh teh Nyani kaingia mitini teh teh teh...
Ila rafiki yangu Raimundo ana roho ngumu mno...
Bwana Nzi angalia msimu ujao usije ukaingia wewe mitini..
teh teh teh hiyo itakuwa vyema... Nitafungua champagne hapo tukinyakuwa ubingwa pale Oracle ndani ya game 5..sijakimbia wadau.. lets wait playoffs zinaendelea. nina imani warriors na cavaliers watakutana finals tena... wote wakiwa healthy so tutajua nani mkali..
na game mojawapo naomba nikuinvite tuchek wote geto kwangu especially game 4 au 5 ambayo timu mojawapo ikiwa ina close series..
tukiacha nba huwa mna attend b ball kitaa ya tanzania gymkana???
Good for them, I'll watch the whole match tonight. Like I said before, 3-pointers has now become the fashion of Basketball and not bull-dozing opponents...I hope he did that tonight, thanks.21 3 pointers made
FT Cavs 121 Hawks 108
Cavs lead the series 3-0
Frye was on today
teh teh teh teh Nyani kaingia mitini teh teh teh...
Ila rafiki yangu Raimundo ana roho ngumu mno...
Bwana Nzi angalia msimu ujao usije ukaingia wewe mitini..