NBA Season 2015 - 2016: Special thread

teh teh teh teh SKRUDA anawakimbiza hivi mpaka mnakimbilia TO ndio mnataka mcheze na Warriors... Haki mtapata kichapo kisicho cha kawaida teh teh teh

teh teh teh teh SKRUDA anawakimbiza hivi mpaka mnakimbilia TO ndio mnataka mcheze na Warriors... Haki mtapata kichapo kisicho cha kawaida teh teh teh
Kweli kawakimbiza hadi kapitiliza...matokeo yake kaipeleka timu yake likizo
 
Halafu kacheza nyingi za hivyo wanamwachia, hii ya mwisho jamaa wakaona liwalo na liwe.
Wakaamua kumdaka tu teh teh teh ila dogo kazingua ile alitakiwa ampe hata Millsap tu..

Ila kama huyu dogo kawatesa hivi mjiandae na mtanange wa Lowry na DeRozan..
 
Mag3 umeona rekodi ya Cavs? 20+ 3 pointers katika games 3 mfululizo. #NBARecord
Hongereni naona somo linazidi kuingia, je uliona ya Blazers jana wakiisulubu Warriors? Nilisema toka awali kwamba legacy atakayoiacha Steph Curry ni hilo la tatu tatu. Basketball inazidi kuevolve na mambo yanavyokwenda si ajabu michezo mingi ijayo itaamuliwa kwa vikapu toka mtaa wa pili.
We are looking ahead for a sweep!
Bado kazi mnayo, nilisema toka mwanzo hao ni wateja wenu
 
Anyway, anyone, I repeat anyone ambaye anaona Cavs can't be a threat with the rhythm they're in now with those big 4's having their best performances haeshimu mchezo huu wa basketball.

Ninachojua tu ni kuwa kitakachowaua Cavs Inawezekana kabisa ni kurelax huku na kuamini kuwa they've got the money. Warriors are good in defending in all positions and have height isipokuwa kwa Curry peke yake, kama watapita.
 
Wakaamua kumdaka tu teh teh teh ila dogo kazingua ile alitakiwa ampe hata Millsap tu..

Ila kama huyu dogo kawatesa hivi mjiandae na mtanange wa Lowry na DeRozan..

Wale wachovu kwenye Playoffs, hata game ya Indiana waliteseka sana. Ingawa wanaongoza series ya Miami lakini nina uhakika series bado changa.
 
Wale wachovu kwenye Playoffs, hata game ya Indiana waliteseka sana. Ingawa wanaongoza series ya Miami lakini nina uhakika series bado changa.
Ila ujue tu Indiana si wachovu... Hata nyie mngekutana na Indiana msingekuwa na mteremko kama huu..

Anyway.. Leo lazima Miami apigwe tena na madogo wataongoza series 3-1.. Mkikutana nao Finals mtawapiga ila sio sweep, wanaweza kupata hata 2 au 1..
 
Tangia Play Offs zimeanza sikuwahi kuangalia game za Cavs zaidi ya highlights.. Ila jana nimeangalia game yao mwanzo mpaka mwisho.. Honestly kama ndio wanacheza vile hawawezi kuzifunga Spurs na Warriors kwenye series.. Na hata OKC wangeweza kwenda nao mpaka game 7..

Kevin Love hakabwi kabisa, anashoot open threes utafikiri sio Play offs, Lebron ndio kabisa yeye alikuwa anacheza kwa kurelax sanasana akiwa anasaidia wenzake wafunge vikapu.. Yaani Lebron ana drive, nje ya 3 kuna watu wawili wako free, anatoa assist mtu anatungua an open three, JR Smith nae amekuwa star kwenye hii series alafu defense yao pia inaonekana strong.. Huu mteremko wasiutegemee wakikutana na watu wanaodefense kweli kweli kama Spurs na Warriors.. Warriors wao hawatadeal na Lebron kabisa, watamwacha afunge anavyotaka ila hawa wengine ndio watakabwa kisawasawa.. Tunajua Kevin Love akishakuwa upset ndio basi atashoot 20%, Kyrie atakutana na lock ya Klay, Kevin Love anakamatwa na Green, Tristan atakutana na Bogut.. Sasa kwa Cavs defense yenye Kyrie, JR Smith na Kevin Love itakuwa inawazuia Curry, Klay, Green...
 
H
 
Habari zilizovunjikavunjika kutoka ESPN ni Stephen Curry kutangazwa NBA MVP this week... Back to Back
 
Anastahili...one reaps what one sows, tatizo ni kwamba ingawa ni unanimous wako wachache hawatapenda...imekula kwaoπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚!!!

Bado haijawa confirmed kama ni unanimous, ila najua kuna watu ni roho ngumu kumpa mtu unanimous.

Dogo ana deserve unanimous kwa kweli.
 
Anastahili...one reaps what one sows, tatizo ni kwamba ingawa ni unanimous wako wachache hawatapenda...imekula kwaoπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚!!!
Ingawa yeye siyo MVP kwenye timu yake! Maajabu haya! Yaani anakuwa NBA's MVP wakati kwenye timu kuna MVP mwingine! Au unaonaje mzee?
 
NILISEMA HUMU HAWA BLAZERS BILA CURRY HIZI SERIES ZITAKUWA NGUMU KWETU...

LEO WANATUPIGA KAMA UNDERDOGS VILE TEH TEH TEH TEH 21-5..

ZILE GAME MBILI PALE NYUMBANI TULIWABAHATISHA TU NA HAWAKUWA NA CONFIDENCE..
 
NILISEMA HUMU HAWA BLAZERS BILA CURRY HIZI SERIES ZITAKUWA NGUMU KWETU...

LEO WANATUPIGA KAMA UNDERDOGS VILE TEH TEH TEH TEH 21-5..

ZILE GAME MBILI PALE NYUMBANI TULIWABAHATISHA TU NA HAWAKUWA NA CONFIDENCE..
Mbona unaanza kulialia ndugu yangu? Unakuwa kama wale jamaa...game mbona bado sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…