Lakini unamuona Portland anavyojikakamua kwa hizo tatu tatu? Hawa vijana baadaye watakuwa hatari...
Naona Warriors wame-prevail 4-1 lakini Portland wametoa upinzani wa nguvu kweli kweli...Go Warriors go!
''What are the chances that this is the toughest fight any team gives the Warriors this postseason''Naona Warriors wame-prevail 4-1 lakini Portland wametoa upinzani wa nguvu kweli kweli...Go Warriors go!
I would rather see A ''Spurs vs Cavs'' Final Than An ''OKC vs Cavs'' if you know what I mean..............Hongereni mazee, nafikiri Curry angecheza game zote mngewa-sweep madogo wale.
Kuna kila dalili za kukutana na OKC final zenu kabla hamjaangukia mikononi kwetu.
I would rather see A ''Spurs vs Cavs'' Final Than An ''OKC vs Cavs'' if you know what I mean..............
SAS ameshapotea... OKC vs GSW on Western Finals..
Kuna watu walikuwa wanaaminisha watu kwamba Spurs ataichakaza vibaya Warriors kwenye Conference finals.. Mimi kuna mahali nilisema humu ni heri nikutane na Spurs kwenye finals kuliko OKC... Hawa Spurs tungesweep sisi teh teh tehSpurs wazee wengi
Nilichelewa kidogo lakini nimeona tokea Q2 katikati...duh, OKC ilikuwa imechachamaa kweli kweli ila sasa naona SPURS kama vile wanapata nguvu kidogo...72-47!
Kwa rekodi ya OKC nadhani safari hii hawatachezea shilingi chooni...94-77 na bado dakika saba!Wanaweza kupunguza gap iliyopo lakini sidhani kama wanaweza kushinda, wameachwa mbali sana. Nadhani huu ndiyo utakuwa mchezo wa mwisho wa legend Tim Duncan.
Masikini Pop, hawezi kuamini! Sijui atang'atuka baada ya leo. OKC mmejitakia, GSW inawasubiri kwa hamu kubwaaaa...!