Kuna timu kadhaa ambazo zinakuja kwa kasi - Orlando Magic, Detroit Pistons, Utah Jazz, Boston Celtics, na Charlotte Hornets....na kwa mbali Milwaukee Bucks.....
Hizo timu zitakuja kusumbua ligi ya NBA miaka michache ijayo.
Bila kuwasahau Minnesota Timberwolves.
Ndiyo na mimi nimeikuta 3rd qtr...hii blowout ya hatari....sema hawa Raptors wakiwa kwao wabishi...lakini game 6 watakubali tu..Ina maana watu hata hii game hawako wanaiangalia!
Dah, ngoja tuone hawa Toronto watakaza vipi kule kwao.
Hodi ndio naingia nakuta 3rd Qr duh! 100-60...naona Cavs wamechachamaa kweli kweli!
A good old fashioned smack down...An @$$whooping of direct proportionIna maana watu hata hii game hawako wanaiangalia!
Dah, ngoja tuone hawa Toronto watakaza vipi kule kwao.
Mbwa mwizi yupo down 3-1 kule western conferenceNasikia hao CAVs wana hasira kweli kweli baada ya kupewa kichapo cha mbwa mwizi na GSW...that was early this year!
Ndoto za alinachaUtashangaa jamaa kesho kutwa wana ketchup na kuwa 3-3
Nasikia hao CAVs wana hasira kweli kweli baada ya kupewa kichapo cha mbwa mwizi na GSW...that was early this year!
Sasa Cavs inabidi waende kwa nguvu kuliko leo ili wamalize kazi game 6..
Ina maana watu hata hii game hawako wanaiangalia!
Dah, ngoja tuone hawa Toronto watakaza vipi kule kwao.
Ndoto za alinacha
Timu za Kusumbua ni jambo la kawaida... most of all huwa hazina uwezo wa kuwa mabingwa... Timu za Mabingwa huwa ni timu zenye Mipango maridadi huwa zinafanya mipango ya kuzizorotesha kwa kuwachomolea wachezaji wazuri au kuandaa watu wawaumize kwenye Game yaani mipango ya kifitina lukuki ikiwemo na kamali n.k Timu za kawaida zikibahatisha ubingwa basi huwa season moja au mbili kisha zinapotea... ndio maana Watu hupenda timu zile Giant huwa zinawafanya watu wawe wanasuuzika mioyoni mara Nyingi... hizi fitina zipo kwenye michezo mingi... Tumekuja kugundua hata Kenya kwenye riadha majigambo yote kumbe walikuwa wanatumia Madawa... ila walipata sifa...Kuna timu kadhaa ambazo zinakuja kwa kasi - Orlando Magic, Detroit Pistons, Utah Jazz, Boston Celtics, na Charlotte Hornets....na kwa mbali Milwaukee Bucks.....
Hizo timu zitakuja kusumbua ligi ya NBA miaka michache ijayo.
Are you playing God?Kesho asubuhi GSW wanaichapa OKC kama hawaijui vilee