mnafungwa kama watoto leoMmmmhh.. Noma kweli
Kama tukifungwa hii game ikaenda Game 7 basi Green atajilaumu sana kwa alichokifanya kwenye Game 4.. Lakini na zile foul tulizopata Q 1 zinatia mashaka tu..mnafungwa kama watoto leo
Game 7...That sum up the1ST Q..
Mmmmhh.. Noma kweli
Cavs wakipoteza game hii,Ni choke job ya mwaka..So far they have outplayed us in every way. .Duh...CAVs wamebadilika sana game hii na ile game 5...
The game is on kuna mwenye link ya live streaming katusaidia?
Hawajabadilika chochote cha kuitishia Warriors mkuu... Kuna vi fitna tu... Curry kapewa 2 fouls za mapema kabisa amekaa nje quarter nzima ile.. Hichi anachokifanya Q 2 angekuwa yupo tangia Q 1 mambo yasingekuwa hivi.. Game 7 inatafutwa hapaDuh...CAVs wamebadilika sana game hii na ile game 5...
Hawajabadilika chochote cha kuitishia Warriors mkuu... Kuna vi fitna tu... Curry kapewa 2 fouls za mapema kabisa amekaa nje quarter nzima ile.. Hichi anachokifanya Q 2 angekuwa yupo tangia Q 1 mambo yasingekuwa hivi.. Game 7 inatafutwa hapa
Warriors hawana ubavu wa kuishinda tena Cavs...hata game 7 watapigwa tuHawajabadilika chochote cha kuitishia Warriors mkuu... Kuna vi fitna tu... Curry kapewa 2 fouls za mapema kabisa amekaa nje quarter nzima ile.. Hichi anachokifanya Q 2 angekuwa yupo tangia Q 1 mambo yasingekuwa hivi.. Game 7 inatafutwa hapa
tatizo lako unaamini warriors wanaonewa sio kweli uwezo wao ni mdogoAll starters of Gs today has 3 fouls each...
And kama kutatokea Game 7 atakayecheza kwenye tension kubwa ni Gs, hawa Cleveland wakija Oracle watafungulia bunduki zao zote, watacheza mchezo wa kihuni ili mradi tu kuwapanikisha Warriors...Kaka mi naona wamekuja na plan hii ya kumfanya Curry acheze defensive (kwenye pick and roll)...mwisho wa siku ndio zimetoa hizo fouls 3...
Halafu wakiwa wapo kwenye half yao, wamezuia zile easy 3's kwa Klay na Curry...
If Cavs keeps on playing like this for the remained Q's...no doubt there'll be game 7
Uwezo ni mdogo, waliwezaje kufika Finals wakicheza kwenye conference ngumu na waliwezaje kuwa mbele kwa 3-1??tatizo lako unaamini warriors wanaonewa sio kweli uwezo wao ni mdogo
Hakuna anayeweza kudhibitisha hilo na wala halina ukweli wowote.. Kunaweza kukawa na fixing ila ni ndogo sana sio ambazo zinaathiri uwezo halisi wa timu..sifahamu lolote kuhusu basketball...
lakin hii timu ya GSW imenifanya nianze kufuatilia huu mchezo...
nilianza kuangalia game walizocheza na OKC kwenye playoffs...
lakin tangu nimeanza kuchek(hasa kwenye hii game na cavs) nimegundua kama ni mchezo fulani ambao unaongoza kwa KUPANGA matokeo...
warriors wamebebwa sana....uwezo wao mdogo ni timu inayopaishwa na vyombo vya habariUwezo ni mdogo, waliwezaje kufika Finals wakicheza kwenye conference ngumu na waliwezaje kuwa mbele kwa 3-1??
teh teh teh teh kama umebet alafu unaona dalili za kuliwa hii game bora ulale tu sio kuja kutolea hasira zako hapa mkuu...warriors wamebebwa sana....uwezo wao mdogo ni timu inayopaishwa na vyombo vya habari
mpaka sasa odds za wariors ni 15.5 cavs ni 1.071 huoni litimu lako lilivyo kimeo?teh teh teh teh kama umebet alafu unaona dalili za kuliwa hii game bora ulale tu sio kuja kutolea hasira zako hapa mkuu...