NBA Season 2015 - 2016: Special thread

point of correction:most of them are above average players...........statistically proven(as you like it)...
I meant on career terms, most of them they are way below the standards. They have been averaging below superstar levels for the past seasons. It is only this season that they have improved numbers.
To see what I'm saying, brings stats for players such as Green and Thompson. Besides, none of them (again with exception of Curry) have been to the All-star team. This proves how average they are.
 
Hahaha kuna watu wehu kweli! Au mi naona dizain flani LBJ & Co. Wa'get a hotline to the NBA gods one at a time to make a case (I'm only joking here)
teh teh teh teh nasikia there was shootings outside Loans Arena after the game... Curry and Green were shot both now on coma.. Now LBJ and Co. can celebrate... Oooohh no, Kawhi is coming for them...
 
hapa ni baada ya Curry kutocheza 4th quarter...and the fun was over...
teh teh teh teh teh aiseee aliwanyanyasa sana mpaka aibu... Eti Kyrie guarding Curry hahaha.. This time Excuse ni kwamba they were off night..
 
teh teh teh teh teh aiseee aliwanyanyasa sana mpaka aibu... Eti Kyrie guarding Curry hahaha.. This time Excuse ni kwamba they were off night..

You played like it is a play-off game because you chasing a record, we were relaxed knowing that this is 1 of 82 regular season game!

Malengo yetu ni Spurs kwa sababu ndo tutakaokutana nao final, mnachezea sifa sana.
 
Asee kuna watu wana utani m'baya! Sa hii ndo nini?!

HTTP 404 error "We could have beat the Warriors if the Cavs were healthy" fans not found
teh teh teh teh teh sasa Cavs fans wote wanaishangilia Spurs Western Conference...

Wanakwambia It will be between Spurs vs Cavs.. teh teh teh hawana hamu...
 
You played like it is a play-off game because you chasing a record, we were relaxed knowing that this is 1 of 82 regular season game!

Malengo yetu ni Spurs kwa sababu ndo tutakaokutana nao final, mnachezea sifa sana.
teh teh teh teh ngoja nimwite mpwa wako Pdidy kwanza aone unavyochemsha...

Juzi ulisema "COME MONDAY"
 
teh teh teh teh ngoja nimwite mpwa wako Pdidy kwanza aone unavyochemsha...

Juzi ulisema "COME MONDAY"

Ile ni amsha amsha tu ili tujaze uwanja, unajua NBA ni biashara.

Sisi tumechukulia kama game ya kawaida tu ila ninyi mmekamia kabisa, acheni kukamia regular season msije mkawa majeruhi kipindi cha playoff kama sisi mwaka jana.

Nawapa ushauri tu hata kama ni wapinzani.
 
teh teh teh teh teh... Mbona sasa JR Smith alikuwa anacheza kwa jazba vile??

Haya bana tutazingatia ushauri wako..
 
teh teh teh teh teh... Mbona sasa JR Smith alikuwa anacheza kwa jazba vile??

Haya bana tutazingatia ushauri wako..

Tukiwa hatuko seriuos jamaa ndo anakuwa serious, ila siku tukiwa serious na tukamtaka acheze seriuos ndo anazingua!

Kifupi jamaa huwezi jua ni muda gani atakusaidia.
 
Tukiwa hatuko seriuos jamaa ndo anakuwa serious, ila siku tukiwa serious na tukamtaka acheze seriuos ndo anazingua!

Kifupi jamaa huwezi jua ni muda gani atakusaidia.
teh teh teh teh kazi kweli kweli... Ila jitahidini aisee..

Tusije pata surprise huko East mkashindwa fika finals..
 
teh teh teh teh kazi kweli kweli... Ila jitahidini aisee..

Tusije pata surprise huko East mkashindwa fika finals..

Tuna hati miliki ya Finals kwa East, mpaka sasa wote wanambwela tu.

Nawaza kama Miami anaweza kusumbua labda, maana kama Wade atakuwa vizuri wanaweza kusonga songa.
 
Are you serious? Do you really want to meet San Antonio in the finals?

All I gotta say is be careful what you wish for, lest it come true!

Sure, it does not feel much pain to be knocked out by SAS, winning is not a new thing to them and they don't badmouth you after that.

So far the season is half way and CAVs are yet to find their grooves.

If it goes this way up to the end of the season Finals will be hard to them regardless of who comes from West.

And the fact that SAS are aging, we can play our cards and knock them off.
 
Sure, it does not feel much pain to be knocked out by SAS, winning is not a new thing to them and they don't badmouth you after that.

Oh okay, so it's the gloating on the part of the Warriors' fans that annoys you. That's understandable. They were losers for such a long time so to most of them winning is foreign.

But you are not going to see that with the Spurs because championships to them are a dime a dozen😀.

So far the season is half way and CAVs are yet to find their grooves.

I still don't think the CAVS are that bad. Yes, they came up short last night but I'd caution folks not to jump the gun just yet.

If it goes this way up to the end of the season Finals will be hard to them regardless of who comes from West.

Although I'm not completely ruling them in but I also don't think they are a lock to come out of the East anymore.

And the fact that SAS are aging, we can play our cards and knock them off.

Hahahahaaa.....I've been hearing this forever now.
 
Sijui kwanini unajiamini kusema Spurs will make it easily to the finals???

Nikukumbushe tu, mwaka jana kipindi cha Regular Season uliwabeba sana Grizzlies na kusema ndio kiboko ya GSW tukifika Play Offs... The series ended 4-2 but ni kweli walitusumbua sana.. Mkasema Grizzlies hawakuwa healthy..

This season Grizzlies tumeshawapiga zote 2 tulizokutana nazo, one was an insane blowout ya 50 Points.. Nyingine was a normal blow out..

Warriors ni wazuri wa kuwasoma wapinzani na kuwapa dawa yao itakayowaponya.. We were down 2-1 at Loans Arena, tukapata dawa ya Cavs tukapiga 3 straight.. two of them were blowouts.. Sasa naona Cavs fans are secretly rooting for Spurs sababu tu Spurs are playing good basketball now and huko nyuma alikuwa akiwachallenge sana GSW... Ila kumbuka pia, labda Warriors nao wameshapata dawa ya hao Spurs... So before judging and give any team between these two easy way to the finals ngoja tuone match up yao wakikutana hapo kesho kutwa... Maana inaweza kuwa surprise na wote wasifike Finals
 
You played like it is a play-off game because you chasing a record, we were relaxed knowing that this is 1 of 82 regular season game!

Malengo yetu ni Spurs kwa sababu ndo tutakaokutana nao final, mnachezea sifa sana.
Mkuu, I don't intend to offend you, but it feels as if you are too much on defense and not logical defense but one basing on weak grounds.

How do you seriously, as the No. 3 in the NBA standings, not taking a regular season game seriously?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…