NBA Season 2015 - 2016: Special thread

I think LAST SEASON HAWA Bulls ndio waliovunja record ya GSW Nyumbani...Without D.Rose....
Lakini bado wana kazi kubwa pale ''Roaracle'' Arena

Yes, hii game pia nilliona, ilienda overtime nakumbuka.
 
ni kweli kabisa,its been a problem since last season....and yet they still win games.............THAT SHOWS ''THE HEART OF A CHAMPION''........
Mwanzoni sikuweza kuangalia ila nilipoanza tu nilikuta Warriors wako nyuma pts 23 lakini hata sikuwa na wasi wasi kwani walikuwa kwenye Q2. Kila wakikutana na Clippers mambo ni hayo hayo na game ya kwanza ilikuwa hivyo hivyo...Warriors walishinda katika dakika mbili za mwisho kama walivyofanya leo. Hiyo ndiyo GSW...
 
TO PUT IT ON RECORDS.............
''Down by 10 with five minutes remaining, Golden State went 8 for 9 from beyond the arc in the fourth quarter and completed the biggest comeback in the NBA this season.''

Leandro Barbosa (flu)
Shaun Livingston (strained left hip flexor.)
Kevon Looney (Hip Surgery)..........all missed the game.............
 

.......there is only one way to stop curry.................''PRAY HE MISSES''...........teheteh..
Game pekee msimu huu ambayo sijaitazama...I cant wait for the highlights,analysis na comments za haters.......
hata sijui when an opponent anaweza kujiona safe na ushindi dhidi ya ''Dubs''...I really dont know...Labda 50pt lead with 20seconds on the clock...
 
Mkuu hawa jamaa hata mwaka jana tulikuwa tunazungumza hivi hivi, mwisho wa siku wakachukua ubingwa.

Ngoja tuendelee kuangalia kinachojiri.

Unajua msimu unapoishaga wale jamaa huwa wanakamia msimu ujao mbayaaaaaaaaaaaa. Unakuta hapo ndo wengine hawataki mchezo, full gym na full mazoezi. Sasa season hii kama Warrior walibweteka kushangilia watapokonywa taji tu hamna ubishi. Lebron tangu arudi CAVS kakamia kuchukua kikombe balaa ingawa ana challenge za ku overcome yeye pamoja na team. Anyway, just like u said, wacha tuone yatakayojiri.
 


Mkuu,
Relax.
Hakunaga game unpredictable kama basketball. That's y i said
Let it roll and lets keep watching.
Wote tupo hapa and you will tell me when the season gets towards the end.
No hurry...................
 

Mkuu nadhani hujafatilia ligi msimu huu, au hujawafuatilia GSW!

They are 13-0, na timu walizocheza nazo mpaka sasa LAC x2, Memphis x2, Toronto Raptors x1, NOP x2 na Houston x1; hizi ni timu zilizokuwa na records nzuri msimu uliopita.

Cavs wako vizuri lakini siyo kwa kiwango hiki cha GSW mkuu, jamaa wanatisha.
 
Mkuu,
Relax.
I am cool hommie.........just a little suprised on your comment ...
Hakunaga game unpredictable kama basketball. That's y i said
Let it roll and lets keep watching.
..now you are talking.....however some are predictable...clearly predictable.
lets assume ''haina safari ndefu'' was a slip of the pen..

Wote tupo hapa and you will tell me when the season gets towards the end.
No hurry...................

....lets live the moment..and take each step at a time.............
by the way..can you do me a favour and declare your interest.........who are you rooting for...?
 
.......there is only one way to stop curry.................''PRAY HE MISSES''......Labda 50pt lead with 20seconds on the clock...

Hahahah mkuu unauaaa!. Asee hawa majamaa sio tu champions-contenders but right now, they are the real deal of the NBA and the poster boys of the whole franchise globally (kuna sehemu ESPN columnist mmoja aliandika hii with facts).
 
They are 13-0, na timu walizocheza nazo mpaka sasa LAC x2, Memphis x2, Toronto Raptors x1, NOP x2 na Houston x1; hizi ni timu zilizokuwa na records nzuri msimu uliopita.

Cavs wako vizuri lakini siyo kwa kiwango hiki cha GSW mkuu, jamaa wanatisha.

Na akumbuke kuwa hawa GSW kwao ushindani ni mkali sana toka kwa wakali wenzao wa West Coast. Sio sawa na ukilinganisha ushindani soft wanao-face Cavs from the East Coast franchises. Naa hii kitu mara nyingi sana ndo inawafanya game analysts, commentators, na columnists wawape favorite odds GSW ukizingatia kuwa wanaplay with the same passion and smartness every single game!
 
13-0...Kama Kalambwanda...
 
Curry and Gang have been taking ''lucky shots'' for almost a year now........Daamn...
 
Curry and Gang have been taking ''lucky shots'' for almost a year now........Daamn...

Hahaha those lucky 3-pointers!. Those lucky 100+pts game! And those lucky "The City" jerseys!
 
Hahaha those lucky 3-pointers!. Those lucky 100+pts game! And those lucky "The City" jerseys!

hahahh..new ''unofficial'' evidence that God exist................There has to be some kind of Supernatural power from '' A Supreme'' source...teheteh...that's where our thoughts are finally heading to...
 
hahahh..new ''unofficial'' evidence that God exist................There has to be some kind of Supernatural power from '' A Supreme'' source...teheteh...that's where our thoughts are finally heading to...

Hahaha mkuu ukicheki comments za haters IG ndo utacheka kinyama! "Someone please beat the GSW" hahaha watu wako depressed na the W streak! The idea that they are nearing the records and smash em give some people sleepless nights.
 
Hahaha...najua na ndio maana nilitazama game yao na Clippers...huwa nachagua mechi zile nionazo wana opponent wa size yao...

 
Kuna mstari hapo uko very well to the point... "of the losses GS has handed their rival..."
 

Attachments

  • 1448026296561.jpg
    76.2 KB · Views: 86

Basketball season is long.

We're only 13 or 14 games into an 82-game season.

So there's plenty of basketball to be played.

Having said that, basketball is not a full-contact sport but it's physical enough to where players can get hurt and/or suffer season-ending injuries and whatnot.

At the pace GS is playing, one can argue that it is possible for them to go 82-0. Operative word there is 'possible'. But, how likely is that? The jury is still out.

At the end of the day what matters most is how you finish. Not so much how you start. Kind of like it don't matter where you from, it's where you're at.

Who's going to be healthy come April, May, or June, that we don't know. Look at what happened to the CAVS last season. A strong case can be made that had their two all-stars been healthy maybe they would be the reigning, defending champs. But that's water under the bridge.

OKC's Kevin Durant is already hurting. I don't think he'll be durable for the duration of the season. I don't think Derick Rose will last either. And I'm still iffy on CAVS' Kyrie Irving.

Once injuries start piling up, the playoff landscape will change as well. But, as things stand right now the GSW do look and play the part. If they sustain this current pace all the way through then the chip is theirs to lose and they are the team to beat.

But be on the lookout for my San Antonio Spurs. You can never count them out.
 
And speaking of the hapless L.A. Clippers...ain't this the team that was up 3-0 [if I'm not mistaken] against the Houston Rockets in the playoffs last season and ended up losing to them?

You are up 3 games and end up losing the series. Seriously? Scratchin' My Head!

The Clippers got issues man hahahaha. They are who they are.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…