40games with at least 30assists #TeamBall #Noballhogging
Mzee, 'ulizisoma' vizuri zile picha? Zinaonyesha hali ya ukabaji tofauti na za Chicken Curry. Na tena zile za zamani, zinaonyesha jinsi ukabaji katika NBA ulivyobadilika (naamini unafahamu kuhusu huu mdahalo unaoendelea). Sasa ukabaji wa namna ile huwezi kuufanya, la sivyo inakuwa ni foul play. Kwa hiyo haihusu tu idadi ya watu ambao wamemzunguka mchezaji katika hali ya 'kumkaba', bali ni namna gani wanamkaba.Google all you can and show me one incident where the whole team converged on one individual other than Stephen Curry!
Ha ha ha! Naona Green kama kawaida 'anatafuta' triple doubles...msimu wa jana Westbrook alisemwa sana kwa kufanya anachofanya Green sasa...lakini kwa kuwa kuisema GSW ama mchezaji wake sasa kunachukuliwa na ati 'being salty', ngoja ninyamaze
Pulverized the Blazers 136-111 while chasing history...GSW, welcome to the 70s club!
je hilo ndilo jibu lako kwa swali nililouliza hapo juu? Anyway usiwe na wasi wasi, Curry ataendelea kunyanyasa timu kama alivyofanya hii leo kwa timu ya Trail Blazers, je uliuangalia mchezo? Na kama kawaida alipumzika quarter moja nzima lakini bado akaandika pointi 39...huyo ndiye Stephen Curry. Leo Pippen kakiri mchezo wanaocheza GSW ni superior kulinganisha na wa Chicago Bulls msimu wa 1995-1996, je upo?Mzee, 'ulizisoma' vizuri zile picha? Zinaonyesha hali ya ukabaji tofauti na za Chicken Curry. Na tena zile za zamani, zinaonyesha jinsi ukabaji katika NBA ulivyobadilika (naamini unafahamu kuhusu huu mdahalo unaoendelea). Sasa ukabaji wa namna ile huwezi kuufanya, la sivyo inakuwa ni foul play. Kwa hiyo haihusu tu idadi ya watu ambao wamemzunguka mchezaji katika hali ya 'kumkaba', bali ni namna gani wanamkaba.
Nani...Westbrook? Huyu aliyenyanyaswa leo na Harden wa Rockets? Huyo anayecheza mchezo wa show akitafuta sifa...mimi simpendi kweli kweli. Kama si Durant na Ibaka nisingekuwa naangalia michezo ya OKC.Ha ha ha! Naona Green kama kawaida 'anatafuta' triple doubles...msimu wa jana Westbrook alisemwa sana kwa kufanya anachofanya Green sasa...lakini kwa kuwa kuisema GSW ama mchezaji wake sasa kunachukuliwa na ati 'being salty', ngoja ninyamaze
Ha ha! Sawa bana...sina jibu...na nipo nikisubiri playoffsje hilo ndilo jibu lako kwa swali nililouliza hapo juu? Anyway usiwe na wasi wasi, Curry ataendelea kunyanyasa timu kama alivyofanya hii leo kwa timu ya Trail Blazers, je uliuangalia mchezo? Na kama kawaida alipumzika quarter moja nzima lakini bado akaandika pointi 39...huyo ndiye Stephen Curry. Leo Pippen kakiri mchezo wanaocheza GSW ni superior kulinganisha na wa Chicago Bulls msimu wa 1995-1996, je upo?
Kwanini usiseme pia Green anapenda sifa ndiyo maana 'anazitafuta' triple doubles? Maana saa zingine namba zake zinakupa wasiwasi. Kwa mfano, unakuta kwenye game ana triple doubles ya 10pts, 10rbs na 10blks! Doh! Hapa si kuna kila dalili ya 'kuzitafuta' mzee?Nani...Westbrook? Huyu aliyenyanyaswa leo na Harden wa Rockets? Huyo anayecheza mchezo wa show akitafuta sifa...mimi simpendi kweli kweli. Kama si Durant na Ibaka nisingekuwa naangalia michezo ya OKC.
Kwa hiyo Curry anatafuta sifa kutungua hizo tatu tatu! Klay Thompson anatafuta sifa na yeye kutungua za kwake! GSW wanatafuta sifa kuvunja hizo rekodi za Chicago Bulls na NBA!..@Nzi can you see how ridiculous the statement you made above sounds? Mimi niliposema Westbrook anatafuta sifa, nina sababu na naungwa mkono na wapenzi wengi wanaofuatilia michezo ya NBA...nakuomba u-google uone kama hutakubaliana na mimi. Umewahi kuiona hii, OKC's chances of wining a championship with russell westbrick as point guard are 0 %!Kwanini usiseme pia Green anapenda sifa ndiyo maana 'anazitafuta' triple doubles? Maana saa zingine namba zake zinakupa wasiwasi. Kwa mfano, unakuta kwenye game ana triple doubles ya 10pts, 10rbs na 10blks! Doh! Hapa si kuna kila dalili ya 'kuzitafuta' mzee?
Ulichoandika proves my point...ngoja niendelee kunyamaza, time will tell us..Kwa hiyo Curry anatafuta sifa kutungua hizo tatu tatu! Klay Thompson anatafuta sifa na yeye kutungua za kwake! GSW wanatafuta sifa kuvunja hizo rekodi za Chicago Bulls na NBA!..@Nzi can you see how ridiculous the statement you made above sounds? Mimi niliposema Westbrook anatafuta sifa, nina sababu na naungwa mkono na wapenzi wengi wanaofuatilia michezo ya NBA...nakuomba u-google uone kama hutakubaliana na mimi. Umewahi kuiona hii, OKC's chances of wining a championship with russell westbrick as point guard are 0 %!
Hebu ingia hapa; Russell Westbrook Sucks Forum
Wow... What a game!.NCAA This Final Four was one for the ages..North Carolina did their best but that buzzer beater by Villanova was the killer. .
Once they routed a highly favoured Oklahoma , I could see this team had a mission. .Play "grit and Grind"..team ball and efficient shooting. .Wow... What a game!.
Westbrook named West POM, following his 7 triple-doubles in March; most in a calendar month since MJ's 7 in Apr '89...
LBJ named East P for March after avg: 25.6 PPG (2nd in East), 8.2 RPG & 7.1 APG (5th in East)
#PlayoffModeActivated