NBA Season 2015 - 2016: Special thread

Kama GSW ilivyoumizwa na minnows Timberwolves tarehe 04/05/2016??
Ni kweli GSW iliumizwa lakini kama nisemavyo siku zote, akaaye karibu na moto, huandaliwa mwanzo!
Je umenipata? Go Warriors, go!
 
Love is on #PlayoffMode
Cavs trailing 9pts...2nd half begins
 
Avumaye papa, kumbe wengine wapo...! Pole sana.
Mimi nimeshazoea (with 23 losses, you get used to it) na I don't brag a lot about Cavs...pole ni kwenu wana GSW mliobrag msimu mzima kwa kusema literally kwa GSW is unbeatable, unbreakable, superteam, capitan America-esque...
 
Muda wa Spurs kufanya vitu adimu pale Oracle Arena unakaribia.

Baada ya hii game tutaanza kusikia maneno kama "we were not chasing the record...".
 
Muda wa Spurs kufanya vitu adimu pale Oracle Arena unakaribia.

Baada ya hii game tutaanza kusikia maneno kama "we were not chasing the record...".
Kumbukumbu jamani...mbona na yenyewe inaanza kuwa bidhaa dimu? Sijui kama Pop naye atakubaliana na wewe. Nasikia juzi kapumzisha wachezaji akisubiria game ya leo...kila la kheri Raimundo 😉😉😉!
 
Mimi nimeshazoea (with 23 losses, you get used to it) na I don't brag a lot about Cavs...pole ni kwenu wana GSW mliobrag msimu mzima kwa kusema literally kwa GSW is unbeatable, unbreakable, superteam, capitan America-esque...
Ha ha haa, mbavu zangu! Mbivu hizi...
 
Kumbukumbu jamani...mbona na yenyewe inaanza kuwa bidhaa dimu? Sijui kama Pop naye atakubaliana na wewe. Nasikia juzi kapumzisha wachezaji akisubiria game ya leo...kila la kheri Raimundo 😉😉😉!
Pop ana akili ya basketball kuliko Kerr kama makocha. Yeye target yake ni kuwa na wachezaji ambao hawapo exhausted pale playoffs zitakapoanza..sasa Kerr yeye alilenga 73 wins bila ya kujua athari zake...
 
Pop ana akili ya basketball kuliko Kerr kama makocha. Yeye target yake ni kuwa na wachezaji ambao hawapo exhausted pale playoffs zitakapoanza..sasa Kerr yeye alilenga 73 wins bila ya kujua athari zake...
End of first quarter: 20-15...mchezo mgumu, hautabiriki bado.
 
HT: 52-40...Hata hivyo mechi bado ni ngumu sana, chochote kinaweza kutokea kwani GSW wanapoteza sana pasi zao. Turnover zimezidi!
 
Nadhani GSW anashinda hii game...mwanzoni pale SAS walianza na mkwara ila sasa naona washatulizwa...

HT: 52-40...Hata hivyo mechi bado ni ngumu sana, chochote kinaweza kutokea kwani GSW wanapoteza sana pasi zao. Turnover zimezidi!
 
End of third quarter: 87-69...chasing 70!
 
Hahaha...labda aliandika hivyo kwa kukumbuka ile game ya mwisho iliyochezwa San Antonio...maana ile game kina Duncan walipiga pini moja hatari ikafanya mwisho wa siku game iwe na scores chache...
Welcome to the 70s club GSW, the second team in NBA history to win 70 games in regular season. Playoffs, here we come as Western Conference Champs!
 
Welcome to the 70s club GSW, the second team in NBA history to win 70 games in regular season. Playoffs, here we come as Western Conference Champs!
Making believers out of doubters...
So sweet to be among the only two 70-club members in NBA HISTORY.And we have done that against SAS..with a convincing win..(double digit)...
 
Pop: Tonight we were playing against the best team in the NBA! The Warriors is a lovely team to watch.
 
Hahaha...labda aliandika hivyo kwa kukumbuka ile game ya mwisho iliyochezwa San Antonio...maana ile game kina Duncan walipiga pini moja hatari ikafanya mwisho wa siku game iwe na scores chache...

Babu Pop haeleweki kwenye regular season, mahali nyie mnatamani awe serious yeye anazingua. Starting line-up ya game iliyochezwa AT&T Centre Boris Diaw alianza badala ya Duncan, leo alikuwa majeruhi na anatarajiwa kuwepo game ya marudiano.

Hope game itakuwa tight kwa sababu pia SAS watakuwa wanataka kumaliza ligi bila kupoteza home.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…