Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Kama ni kweli kayumba sana aiseeDonovan Mitchell has also tested positive of coronavirus.
Ni teammate wa Rudy Gobert katika timu ya Utah Jazz.
Inasemekana Rudy Gobert alikuwa anajaribu kusababisha na wenzake waupate huo ugonjwa.
View attachment 1386237
Kama ni kweli kayumba sana aisee
Mshamba sana Rudy niliona interview yake alivyokuwa akikihoa alijua alafu akakausha kimya ili awaambukize na wenzie sizani kama wataweza msamehe wenzake kwa alichokifanya.
Babu tuombe uzima wa afya na pia uzi kama hv upo nitarudi kwajili ya Rocket nakuambia.
Kabehave kitoto sana..., kama watoto wa primary na chekechea...mtu mzima unafanya hivi!!!... Huyu ikithibitishwa ni kweli anatakiwa asishiriki tena NBA.Nimemaindi sana mshikaji alichofanya, ukisoma post ya Donovan Mitchell instagram kaandika kuashiria hiko kitu pia. Kushauri watu kubehave katika njia ambayo itawalinda watu walio karibu.
So bad.
āāāāā 100%Huyu anatakiwa kutocheza tena NBA ikithibitika ni kweli. This is national security issue.
Kabehave kitoto sana..., kama watoto wa primary na chekechea...mtu mzima unafanya hivi!!!... Huyu ikithibitishwa ni kweli anatakiwa asishiriki tena NBA.
Likely na EPL itasimama in no time
Yeah, mashabiki walikuwa wanasambaza tu, huyu amekutwa na influenza B, haya ni mafua makali yanayoambatana na Homa, sasa ilipotangazwa amekutwa na influenza B positive mitandao ikaanza kusema naye ni Corona ikabidi ikanushwe tena
huyu mchezaji kunavideo nimeona alikuwa anafanya mzaha wa kuigiza corona ambapo ameonekana akishika kila mike katika chumba cha mahojiano
Kabisa, Mungu atusaidie hilijanga liishe mapema.Playoffs zikianza tutafungua uzi wa game, tutakutana tu hapo.
Mbona kama kuna mahali nilisoma walisema kuwa hawata simamisha ligi waingereza. Maana navyojua Italian wameshasimama NBA as well as nao.Likely na EPL itasimama in no time
Nakuambia huyu mwana akipona atafute shughuli ya kufanya nakuambia maana sizani kama kuna sehemu ataweza cheza tena BBALL unajua mwana kazingua amekoholea mc alafu akawaanaulizwa kuwa unacorona alafu akawa anajoke amecost kuanzia waandishi wa habari, players na referees pia ndio watu wakashtukia kuwa mwana alikuwa anatania kwenye conference kumbe alikuwa akiumwa alfu amemute ndio wakaja faster kwenye game hiyo ya wao na thunder.Huyu anatakiwa kutocheza tena NBA ikithibitika ni kweli. This is national security issue.
Mbona kama kuna mahali nilisoma walisema kuwa hawata simamisha ligi waingereza. Maana navyojua Italian wameshasimama NBA as well as nao.
Nakuambia huyu mwana akipona atafute shughuli ya kufanya nakuambia maana sizani kama kuna sehemu ataweza cheza tena BBALL unajua mwana kazingua amekoholea mc alafu akawaanaulizwa kuwa unacorona alafu akawa anajoke amecost kuanzia waandishi wa habari, players na referees pia ndio watu wakashtukia kuwa mwana alikuwa anatania kwenye conference kumbe alikuwa akiumwa alfu amemute ndio wakaja faster kwenye game hiyo ya wao na thunder.
Muingereza bhana kujifanya mbishi š¢analeta ubishaniambao hauna sababu ya msingi angesimamisha league tu.Premier League wametoa updates kwamba kesho wanacheza, ila game ya Arsenal iko postponed.
Kuna uwezekano wa mechi zaidi kuahirishwa.
Atafute shughuli yakufanya akishapona huyo anaweza rudishwa France kabisa kazingua kinoma.Nimeona hiyo, ESPN wamereport, hata post ya Donovan iko wazi amemind.