FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Namjua mtumishi tangu nikiwa na miaka Tisa mpaka Leo hana idara maalumu,mara arudi teller au awe customer. Service pamoia na uzoefu wote alionao na ni mchapa kazi,
Kwanini asiwe hata loan officer au back office officer,kama elimu ndogo mlimwajilije,
Pia mlinifukuzia kazi ndugu yangu aliekuwa. Manager Urambo mwaka 1997 kiuonevu bila kusikilizwa
Nb😛ia NMB bank hamuwapandishi umeneja wanawake japo MNA utaratibu mzuri wa Ku-rotate ktk idara mbalimbali,
Ila mnafukuza ovyo
Instagram:kaukwaju
Kwanini asiwe hata loan officer au back office officer,kama elimu ndogo mlimwajilije,
Pia mlinifukuzia kazi ndugu yangu aliekuwa. Manager Urambo mwaka 1997 kiuonevu bila kusikilizwa
Nb😛ia NMB bank hamuwapandishi umeneja wanawake japo MNA utaratibu mzuri wa Ku-rotate ktk idara mbalimbali,
Ila mnafukuza ovyo
Instagram:kaukwaju