Nimepigwa pesa katika benki ya NBC , Jmosi niliweka kama 1.7m tawi la NBC DODOMA, kwenda kuchukua pesa benki jtatu nikakuta nimepigwa 1.5m kupitia NBC tawi la Tegata kwa kutumia ATM card yangu ambayo ninayo mwenyewe, cha ajabu mie nko DOM na pesa imepigwa DSM, Nawashauri ndugu zangu wenye account NBC wacheki account zao