Ndugu wa Tanzania nimekuwa nikifuwatilia kwa ukaribu vile bank hii vile inatoa huduma zake pamoja na bidhaa zake kwakweli mwenye macho haambiwi tazama, huu niwakati wa watanzania kujuwa kule tunaenda ktk uchumi wa Tanzania basi kuikosa hii bank nikujikosesha fursa ktk maisha yako. NBC Ltd wamejizatiti katika kulinda amana za wa Tanzania katika kutoa huduma bora tena za kimataifa. Uwez kuamini nchi za magharibi, ulaya na asia wanaitambuwa hii bank kias mara nyingi wawapo Tanzania wanaziaminia Atm za Nbc pamoja na huduma zao. Hakuna mtu alie patwa na tatizo ktk wiz wa kwenye mtandao hajapata pesa zake baada ya uchunguz hili limeifanya bank hii ya wa Tanzania kuwa angaza wa tz popote walipo. Serikali inaujuwa mchango wa hii bank na ndio maana haijawah tangaza kuachia sehem ya hisa zake kwa wa wekezaji, pia kama ulikuwa hujuwi sasa hivi hii bank inamfumo wa kisasa ambao unahifadhi mafail ya wateja kiasi kupotea taarifa za mteja ni kama hadithi sasa. Huduma za mobile bank, ebanking vimeboreshwa kiasi sasa kweli maisha kiganjani na sio tena siri kwamba ukitaka kitu lazima uchukue physical casha, hudua ya e statement inaenda punguza habari yakuja bank uchukue statement. Bank ktk upande wa matumizi ndio ucguse kabisa imejipanga kwa ku2mia low fuel cars jambo linapunguza matumizi, huduma zote ktk electronic kupunguza paper work. Nizaidi yaku make yani huwez kuifananisha nbc na bank nyingine kwa vile imetoka analog nakwenda digital!