NBC-Moshi,hovyo kabisa

NBC-Moshi,hovyo kabisa

Goodvision

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
858
Reaction score
467
Hii benki kwa kweli tumeichoka sasa.Kila tukija hapa teller ziko saba tunakuta wahudumu 1 au 2 tu,tafadhali sana kama hamtaki kazi ni bora muache tu kuliko kutupa usumbufu wa namna hii.Kuweni makini!
 
Wameshakuja sasa wako kwa teller,hatupendi hii mambo tena
 
Labda ndo hizo 'Huduma za kibenki kwa misingi ya kiislam' almaarufu Islamic Banking.
 
mabenki yetu hakuna hata moja linalojua customer service ni kitu gani, equity benki itawanyoosha, wako bize kutangaza maredioni na kwenye tv ukifika kwenye kaunta zao ni ugoro mtupu,
 
Ni magumashi kabisa mimi nilihamisha mshahara wangu pale nilichoka
 
Back
Top Bottom