Kuna Mtu haya sawaKuna mtu anapigwa counter attack hatokuja kuamini
Kazi na umriBocco Hoi
😁😁😁😁🔥Wenzake wametinga jersey ye kaingia na kijora afu juu kapiga heleni
Alisikika Uto mmoja akisema
Kawaangalie akina juma lokoleBora nikaangalie Huba kuliko mpira papatu papatu wa Makolo
Huyu shida yake ni hana nguvuDoctor Peter Banda kwenye dribbling yuko vizuri