Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
- Thread starter
-
- #61
Watoto wajitahidi washikilie bombaDk 63' Yellow Card Kwa Mpapi Nasibu Baada Ya Kumchezea Vibaya Djuma Shabani
Matokeo?Dk 68' Denis Nkane Anaoneshwa Yellow Card Baada Ya Kucheza Foul
Kwenye nyuzi za updates Uto wako nyuma sana, ila ukienda kwenye special thread yao utaona mtiririko wa comments halafu page ya 1-4 ni comments za mtu mmojaUzi umedoda
Hatuna taarabu bado 3 tubebe kikapu .Kwenye nyuzi za updates Uto wako nyuma sana, ila ukienda kwenye special thread yao utaona mtiririko wa comments halafu page ya 1-4 ni comments za mtu mmoja
Ambapo ndani yake kina laki 3Hatuna taarabu bado 3 tubebe kikapu .
Unatetema hapo ulipoHaya wale waliokuwa wanaiponda Simba kuwa itapigika tarehe 28 kwasababu ya kiwango walichokionesha jana niambieni kwa hiki kiwango cha Yanga mna lipi la kuongezea?
UpdateAmbapo ndani yake kina laki 3
mviziaji like creepMayeleeeeeee
Na nyie vizienimviziaji like creep
Kwani Boko amekatazwa kuvizia?mviziaji like creep