NBC Premier League|Biashara United 1- 1 Young Africans|CCM Kirumba Stadium|Kick Off:16:00

Makolo wapewe urogaji bora
 
Hivyo vyote tumevibeba msimu uliopita na Wala hatuna kelele,Ila uto hata ubingwa bado mmeanza kutapika.
 
Yanga atachukua ligi kwasababu simba haipo vizuri tu ila sio kwamba wapo vizuri ukiangalia mwenendo wao simba ile ya misimu minne haikupoteza point kizembe kizembe hivi na ilikuwa inashinda goli nyingi karibuni kimataifa yanga kwa wanaume wa shaka.
Simba haikupoteza kizembe! Haya msimu wa 2020/2021 Simba alipoteza michezo mitatu na kutoa sare michezo mitano. Maanake wamepoteza jumla ya point 25. Yanga mpaka sasa wakiwa wamebakiza mechi nne wametoa sare michezo 7 maanake wamepoteza point 14. Kwahiyo Yanga wanatakiwa wafungwe mechi zote tatu na kutoa sare mechi moja ndio watakuwa sawasawa na Simba kwa point za kupoteza
 
MAKOLO wataupita huu uzi Kama vile hawauoni [emoji23][emoji23][emoji23]

GO GO GO! GO! GO! .....WANANCHIIIIIIIII
lete mrejesho.

Alisikika jamaa mmoja mwenye upungufu wa akili akisema pale utopoloni kuna watu wawili tu wenye akili. Yaani Jakaya kikwete na mzee Manara . Watu wakambeza .
 
Yanga atachukua ligi kwasababu simba haipo vizuri tu ila sio kwamba wapo vizuri ukiangalia mwenendo wao simba ile ya misimu minne haikupoteza point kizembe kizembe hivi na ilikuwa inashinda goli nyingi karibuni kimataifa yanga kwa wanaume wa shaka.
yanga haina timu ya kushinda mechi kimataifa. Labda wafanye usajili wa nguvu sana.

Unawweza kubisha kwasababu zako long ndiyo ukweli.

Hifadhi maneno yangu.
 
Yanga atachukua ligi kwasababu simba haipo vizuri tu ila sio kwamba wapo vizuri ukiangalia mwenendo wao simba ile ya misimu minne haikupoteza point kizembe kizembe hivi na ilikuwa inashinda goli nyingi karibuni kimataifa yanga kwa wanaume wa shaka.
yanga haina timu ya kushinda mechi kimataifa. Labda wafanye usajili wa nguvu sana.

Unawweza kubisha kwasababu zako long ndiyo ukweli.

Hifadhi maneno yangu.
 
yanga haina timu ya kushinda mechi kimataifa. Labda wafanye usajili wa nguvu sana.

Unawweza kubisha kwasababu zako long ndiyo ukweli.

Hifadhi maneno yangu.
Manara anavyowajaza ujinga wanaona wapo sawa na simba mpaka aliwadanganya wanaanza hatua ya mtoano wakakubali ikawa wanausharingiria ule msekule wao [emoji23][emoji23]
 
yanga haina timu ya kushinda mechi kimataifa. Labda wafanye usajili wa nguvu sana.

Unawweza kubisha kwasababu zako long ndiyo ukweli.

Hifadhi maneno yangu.
Yaah ni kweli Yanga kimataifa hatuwezi kushinda mpk tufanye usajili wa kutisha ila simba hata akiwa na kikosi cha kipumbavu cha msingi tu uchawi uwepo na wautumie vzr na watashinda
 
Yaah ni kweli Yanga kimataifa hatuwezi kushinda mpk tufanye usajili wa kutisha ila simba hata akiwa na kikosi cha kipumbavu cha msingi tu uchawi uwepo na wautumie vzr na watashinda
Usipaniki ndugu....chukulia poa tu.
 
yanga haina timu ya kushinda mechi kimataifa. Labda wafanye usajili wa nguvu sana.

Unawweza kubisha kwasababu zako long ndiyo ukweli.

Hifadhi maneno yangu.
Hivi mechi za kimataifa zina tofauti gani na za ligi? Maana timu zote zinazoshiriki huko, ziko kwenye ligi za ndani za nchi zao..
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…