fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 Aug 1, 2023 #1 Acha kabisa, timu zimesajiki na kila timu inataka kuwafunga yanga inabidi Yanga tukaze buti kwelikweli.
Acha kabisa, timu zimesajiki na kila timu inataka kuwafunga yanga inabidi Yanga tukaze buti kwelikweli.
Mpaji Mungu JF-Expert Member Joined Apr 24, 2023 Posts 13,544 Reaction score 43,537 Aug 1, 2023 #2 Hersi hanaga baya soon ataanza kuwadunda wenzie
MAWEED JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 3,550 Reaction score 12,239 Aug 1, 2023 #3 Mambo ya fedha
Kichuguu Platinum Member Joined Oct 11, 2006 Posts 17,048 Reaction score 22,790 Aug 1, 2023 #4 fimboyaasali said: Acha kabisa, timu zimesajiki na kila timu inataka kuwafunga yanga inabidi Yanga tukaze buti kwelikweli. Click to expand... Hakuna timu ya kuifunga Yanga msimu huu. Tukutane mwezi wa sita mwakani kuhesabu tuzo kwenye makabati.
fimboyaasali said: Acha kabisa, timu zimesajiki na kila timu inataka kuwafunga yanga inabidi Yanga tukaze buti kwelikweli. Click to expand... Hakuna timu ya kuifunga Yanga msimu huu. Tukutane mwezi wa sita mwakani kuhesabu tuzo kwenye makabati.
Mr kenice JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 4,260 Reaction score 7,033 Aug 1, 2023 #5 Kitaumana.
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Aug 1, 2023 #6 Kama kuna timu imesajili kwa ajili ya kuifunga Yanga, basi ijiandae tu kwa maumivu.