NBC wezi wa pesa

new generation

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
817
Reaction score
1,687
Habarini wana jamvi, polen na majuku, kama kichwa cha habari kinavojieleza. Kwa wale watu wote ambao bado ni wateja wa Benk ya NBC, hv mwafahamu kila mwezi wa tano Nbc ina charge 10.000 kwa ajili ya ATM card application kwakila akaunti ya mteja haijalish atm ime-expire au nzima, hunayo au hauna, mbaya zaidi hii kitu imefanywa bila hata notes kwa wateja, na hata kwenye tariffs guide ambaya kwa mujibu wa sheria za benki tanzania hasa ile ya Publication ni lazima hzi tozo zionekane kwenye tariffs guide ya benk husika, ila kwa nbc hii kitu haipo na bado hawaja taarifu wateja uwepo wa hii charge.
 

Hio bank iliishakufa makaburu wanamaliziamalizia vi change bilivyo baki
 
Acha kupotosha uma , kama ulikosa kazi NBC jaribu tena baadaye .
 


Unashangaa NBC ulizia ya EXIM Bank wao 20.000tsh

 
Hapa kuna kitu wateja wa Bank hatukijua na hukimbilia tu kufungua accounts.

Ila acha tusubirie wazoefu waje
 
Mie mwenyewe nililiwa 100,000/- baada ya kuifuatilia nilipigwa chenga hadi nikabaki mdomo wazi...!
 
Hapa kuna kitu wateja wa Bank hatukijua na hukimbilia tu kufungua accounts.

Ila acha tusubirie wazoefu waje

Kaka, mie ni mzoefu wa benk wa muda mwing, ndugu service charges zote huwa zatakiwa kua displayed (tariff guide) sasa mie baada ya kukuta hizi charges ndo nkuliza inakua vp? Ndo nkaambiwa imeanza tangu mwaka jana, nkauliza mbona hawakutoa notes y new charges kwa customerz wao? Na kwa nn hata tarif guide haina hzo info? Hawakua na jibu la kuniambia..Bot please check hii mambo
 
NBC Ni vimeo, mwaka huu mwezi February system yao ilizingua ikawa wateja wao wanajivutia mahela kuptia njia ya NBCMobile, Jamaa wangu wawili walivuta zaidi ya milioni kupitia njia hiyo na mpka leo hawajashtukiwa. Bank nyingine hizi za uchochoroni kweli, sijui wamekula maharagwe ya Gwajima hawa NBC. Poor Service
 

Kanuni mpya za Disclosures ambazo zimetolewa na BOT zinataka mabenki ya publish charges zote kwenye magazeti kwa kila quarter. Hii inaanza na quarter iliyoishia 30 June 2015 na lazima publication ifanyike within 45 days after end of quarter. Ngoja tuone NBC, CRDB, Exim na benki nyingine wata publish nini. Huu ni mwanzo wa kuona banks ambazo ni 'majambazi'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…