Wizi wa kupitia ATM upo almost every bank ndani ya Tanzania, wanaohusishwa na wizi huu nasikia ni wa bulgaria, wakenya pamoja na wazungu wa kutoka marekani. Unaweza kupata habari zaidi ya aina ya wizi huu hata kwa kutumia google search engine. Nakushauri fanya hivo kwa faida yako na jinsi gani ya kujilinda kama mteja.