NBS: Idadi ya wasio na ajira imepungua nchini

NBS: Idadi ya wasio na ajira imepungua nchini

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
FB_IMG_1513258712825.jpg


My Take
King Majuto, Katrina wa Dareda-Karatu na Joti kazeni buti,la sivyo mtapotezwa katika tasnia ya komed
 
Hayo NBS ni wapuuzi kabisa.
Watu tunateseka mtaani bila hata kupata kibarua, halafu wao wanakuja na huo ujinga wao wa kutunga.
 
Nchi hii inakwamishwa na wasomi kazi yao ni kujipendekeza kwa wanasiasa..............huu ni uupuzi.
 
Tatizo la ajira linapunguaje iwapo 'mwajiri mkuu' hajatoa ajira mpya kwa zaidi ya miaka miwili? This is a pure lie!
 
Halafu imepewa fent fod kabisa kwenye vyombo vya habari.!!
 
Hiyo ofisi ya takwimu ni genge la waimba mapambio tu
 
Safi sana... hizi zote n juhud za mheshimiwa rais, anazid kutekelezea kwa vitendo
 
Hilo tatizo limepunguaje ikiwa serikali iko na muda mrefu haijatoa ajira. Na huku private sekta hali inazidi kuwa mbaya kila siku.
 
Halafu magu anasema atakaye kwenda kinyume na takwimu za hawa watu akamatwe na kushughulikiwa!
Hivi Rais wetu anatambua asemacho?
 
Hii ni taarifa inayotakiwa kutolewa kila baada ya miezi mitatu(robo mwaka)
 
Back
Top Bottom